Lazima kuna namna maisha yenu ya sasa yanafanana
Ajabu sasa wala hayafanani. Mmoja ni kigogo yuko huko BOT ana pesa kama mvua. Mwingine yuko huko serikalini naye yuko vizuri sana.Lazima kuna namna maisha yenu ya sasa yanafanana
Shimba kumbe una urafiki na vigogo na hatuambianiAjabu sasa wala hayafanani. Mmoja ni kigogo yuko huko BOT ana pesa kama mvua. Mwingine yuko huko serikalini naye yuko vizuri sana.
Ninachowapendea hawa jamaa ni kwamba hawana majivuno na bado wako grounded. Hicho tu pengine ndicho kinachotuunga pamoja.
Nitakuja kukusalimia![]()

nifanyie connection basiMwenyewe hawanifanyii connection imagine 😁😁😁Shimba kumbe una urafiki na vigogo na hatuambianinifanyie connection basi

kwa sababu huhitaji koneksheniHapana maana yake size ndogo