Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

15ea5063cc3b8fda992ed695cbee9867.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lazima kuna namna maisha yenu ya sasa yanafanana
Ajabu sasa wala hayafanani. Mmoja ni kigogo yuko huko BOT ana pesa kama mvua. Mwingine yuko huko serikalini naye yuko vizuri sana.

Ninachowapendea hawa jamaa ni kwamba hawana majivuno na bado wako grounded. Hicho tu pengine ndicho kinachotuunga pamoja.

Nitakuja kukusalimia 🙏🏿
 
Ajabu sasa wala hayafanani. Mmoja ni kigogo yuko huko BOT ana pesa kama mvua. Mwingine yuko huko serikalini naye yuko vizuri sana.

Ninachowapendea hawa jamaa ni kwamba hawana majivuno na bado wako grounded. Hicho tu pengine ndicho kinachotuunga pamoja.

Nitakuja kukusalimia
Shimba kumbe una urafiki na vigogo na hatuambiani nifanyie connection basi
 
Back
Top Bottom