Recent content by lumia21

  1. lumia21

    Serikali ya mfumo wa majimbo ndiyo mwarobaini wa umaskini Tanzania?

    Hata mie nasapoti nazan serikali ya Majimbo ndio mwarobain ulibaki, Ila serikali ya Majimbo bila kuwa na katiba Madhubutu .. ni kupoteza Mda Wanachi majimbon wanapaswa kuwa na nguvu kwenye katiba,ikiwemo uwezo wa kuwa wajibisha viongoz wao wa majimbo Mfumo wa sasa unamapungufu mengi mno...
  2. lumia21

    Ni biashara gani uliwahi kuambiwa ukifanya utapiga pesa sana ila baada ya kuingia mchezoni ulibaki unajuta?

    Mwaka 2019, kuna Rafiki yangu.. mmoja alikuwa Dodoma Anafanya biashara ya kuuza Nazi . Saba saba . Bwana jamaa akanipanga. Nazi Dodoma itoka hatar..yaan ukishusha mzigo asbh Saa nne tu ume maliza mzigo.. Ha ha ha wee si nikatupia laki 9 yangu bwana. Ha ha ha mpaka leo mie huwez niambia...
  3. lumia21

    Tunakumbushana Wanaume; Unapopambana kwa ajili ya kesho ya wanao, usisahau kujiandalia kesho yako pia

    Swala La kesho yetu Sie wanaume.. ni muhimu mtu kulipa Kipaumbele.. Sana tu.. Kuzaa, kulean na kusomesha watoto au mtoto sio mkataba wa kwamba nao lazima wakujali huko mbeleni, pengine kwa sababu nao wanakuwa wanjitafuta au kwa sababu zinginebtu ndio maana swala la kuangalia mbele yako ni...
  4. lumia21

    DOKEZO Responded Hivi Msumi ipo Dar es Salaam kweli?

    Misumi wasubir kwanza serikali inunue ma V8 kwanza, Chenchi ikibak wata wekewa Daraja moja.. Mkumbuke viongoz wanafanya kaz katika mazingira magumu sana.. mkumbuke hilo.. jaman.
  5. lumia21

    Jinsi Wachina wanavotajirisha haraka kama utafuata masharti haya

    Elmis ume sema Vyema... Usikubali mkopo wa Bidhaa ili mradi ujaze duka... Kama. Wanataka kukupa mkopo wa Bidhaa basi ziendane na Soko...
  6. lumia21

    Je, ni mfuko gani wa UTT AMIS uko vizuri zaidi?

    Naomba uliza mtu mmoja naweza kujiunga na zaidi ya Mfuko mmoja.. !?? Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
  7. lumia21

    Sababu zinazowafanya Wanaume wengi wachelewe kurudi nyumbani

    Daaah Namba 1. Ndio inaho nichelewesha..
  8. lumia21

    Kimamba imekufa. Kero ya usafiri Kimamba - Dumila na Kero ya TANESCO

    Ukifika Rudewa mwisho wa lami ita Lumia kwa nguvu... Nina shamba langu la nyanya chungu jiran na hapo, nikupe nyanya chungu mbili tatu za kutafuna.
  9. lumia21

    Msaada: Mchanganuo wa Biashara ya Tigopesa

    Ndio biashara ya maimala hiyo... Ukikaa site nzuri .. utaifurahia... Ila ukikosea site mzee... Utalia
  10. lumia21

    Msaada: Mchanganuo wa Biashara ya Tigopesa

    Siku hiz ukifanya muamala.. sms inayo Rudi kukuonyesha muamala umekamilika una kuwa umewekewa na kamishen ya huo muamala
  11. lumia21

    Msaada: Mchanganuo wa Biashara ya Tigopesa

    Mkuu kwa elfu 50 unapata 285 kama Kimishen yako... Hii biashara kikubwa mzunguko..
  12. lumia21

    What's your favorite Movie Line or Quote?

    Django: You better listen to your Boss white boy White: I want a nigger who can go to the moon like u Django: You wanna Hold my Hand!?? White boy: Ha ha ha ha ha Django unchained!
  13. lumia21

    List yangu ya Stand-Up Comedians ninaowakubali zaidi

    1.Trevor Noah 2.Chris Rock 3.Eddy Griffin 4.Aziz Ansanari 5.Enrique Iglesias 6.Daliso Chaponda 6.Sebastian Manscallo 7. David Chappelle 8. Russel Peter
  14. lumia21

    Ile route ya kupeleka nyama Dubai iliishia wapi?

    Kwenye Andiko lako umesema "walisema hiyo Route ni ya majaribio na kama faida ikiwepo itakuwa regular route" May take : Route haikuwa na Faida waka acha nayo.. Mbona simple tu....
Back
Top Bottom