Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 8,909
- 31,960
*Ukiwahi anaanza kukusisimulia stori za mashoga zake kama vile nyie hamna maisha yenu (umbea sitaki)
*Anaanza kukueleza shida za ndugu zake ambao nao pia Wana familia zao kama yeye alivyo na familia yake anajidai mama huruma kama vile yeye hana shida (kuishi maisha ya watu wengine wakat na mm nina yangu sitaki)
*Kumfokea dada wa kazi kila siku na kumzidishia kazi ukimwambia siyo vizuri anakununia vita inaamkia kwako utaskia "au ni mpenzi wako?"
*Anaanza kukueleza shida za ndugu zake ambao nao pia Wana familia zao kama yeye alivyo na familia yake anajidai mama huruma kama vile yeye hana shida (kuishi maisha ya watu wengine wakat na mm nina yangu sitaki)
*Kumfokea dada wa kazi kila siku na kumzidishia kazi ukimwambia siyo vizuri anakununia vita inaamkia kwako utaskia "au ni mpenzi wako?"