Recent content by Lukungano

  1. Lukungano

    Je, ni sahihi mwanamume kuzira kula chakula alichopika mke/mwenza?

    Bora ususe vingine vyote ila sio msosi! Otherwise uwe na pesa ukitoka unaagiza ugali nyama choma huko maisha yanaendelea
  2. Lukungano

    Mwendokasi waache kuibia abiria

    Huu nao ni wjzi,wanaboa sana!
  3. Lukungano

    Maajabu Zanzibar: Aliyezikwa aonekana mtaani baada ya siku mbili, polisi wafukua kaburi

    Sasa wewe ulitaka picha ya jeneza la nani wakati jeneza halina mmiliki ni la msikiti? Then huyo alishazikwa two weeks ago
  4. Lukungano

    Hodii hodi

    Picha tafadhali!
  5. Lukungano

    Maajabu Zanzibar: Aliyezikwa aonekana mtaani baada ya siku mbili, polisi wafukua kaburi

    Islamic hawatumii jeneza,huenda alikua wa imani hiyo
  6. Lukungano

    Ushauri: Jirani yangu anamtongoza mke wangu

    Mkeo keshakolea,otherwise angekwambia
  7. Lukungano

    Uhamiaji na PCCB jitokezeni tuwasaidie kazi

    Umesoma vizuri thread yake anasema anataka msaada? Hebu rudia tena kusoma wewe mwenye unga,pumba zinanifaa mimi mfuga kitimoto
  8. Lukungano

    Uhamiaji na PCCB jitokezeni tuwasaidie kazi

    Mbona pcccb wako wazi sana mkuu
Back
Top Bottom