kijanamdogo
JF-Expert Member
- Feb 25, 2018
- 231
- 176
Hakika inasikitisha sana kuwa WATUMISHI WASTAAFU wakicheleweshewa Mafao yao na mifuko ya hifadhi ya jamii.Kama mtumishi aliweza kuchangia michango yake kwa uaminifu mkubwa iweje Leo acheleweshewe Mafao yako? Wastaafu hao hawana kipato kingine zaidi ya Mafao yao hivyo ni vema Mifuko hiyo ikawalipa mapema badala ya kuwasumbua.