Recent content by Lukumbisi

  1. Lukumbisi

    Hivi ikitokea mtoto si wako sheria zinasemaje

    Hiyo fidia unayoitaka kutoka mkeo ni pesa au nini?..Lakina tayari huyo mtoto ana ndugu yake hapo(huyo wa kike). Peleka lalamiko mahakamani then utapewa mwanasheria baada ya hapo utapewa kibari cha kupima wewe na mwanao.
  2. Lukumbisi

    Sherehe ya Mwaka Mpya ni ya Kikristo, Waislamu tumeivamia tu bila kujua

    "Sele na Salehe hawampendi wile na chale wakati wanafanana rangi ya ngozi mpaka nywele'' #Dini tumeletewa
  3. Lukumbisi

    Nimeshangaa kumuona Profesa mmoja maarufu wa pale UDSM akisali sala ya Bikira Maria

    Yapo mambo mengi sana ukitumia logic za kibinadamu lazima uone ajabu lakini katika kuamini unafanya..
  4. Lukumbisi

    Nafasi ya kazi kuuza duka

    Sasa hapo unataka muuza duka la kompyuta au unatafuta waliosomea ICT,IT na Computet science.?
  5. Lukumbisi

    Mambo yanayoharibu jamii ya Tanzania kwa kasi

    5.Vigodoro kila kukicha Kwasasa maeneno mengi ukienda katka sherehe/muziki ukiona namna dada/mama zetu/shangazi zetu hata mabibi wakati mwingine namna wanavocheza mbele za watoto na wajuu, kiukweli naiona Tz mbovu huko mbeleni.
  6. Lukumbisi

    Ngozi nyeusi ina laana ya milele

    AGREED..But its hard for others to accept that..Its true.
  7. Lukumbisi

    Shamba la mitiki linauzwa

    Kuna mzee anauza shamba la mitiki lenye ukubwa wa hekali 7. Mitiki imekuwa imefikia ukubwa kama nguzo ya umeme kwa unene. Mzee anahitaji mil 22 tu, umri umemtupa mkono anaona ni bora ale alichopanda mapema. Eneo ni Ifakara mkoa wa Morogoro (Shamba lipo Makero-Machipi).
  8. Lukumbisi

    Tumuombee Legend Pele katika safari yake ya kupumzika kwa amani.Yupo "PALLIATIVE CARE "kwa sasa

    Amepita miaka ya ahadi aisee ana zaidi ya 70-80
  9. Lukumbisi

    World Islamic Cup, 2022 Qatar

    Kweli maneno haya yana ukweli kabisa nikajua jamaa anatupondea tu.
  10. Lukumbisi

    Profesa Muhongo: Hatupo tena Uchumi wa Kati, tumeporomoka

    'UCHMI WA KATI BILA AJIRA NI SIFA ZA KIJINGA"Ova
  11. Lukumbisi

    Sadaka ya kujimaliza ya kwa Mwamposa inatia watu umasikini

    Watu wanatakiwa wapewe elimu nzuri kuhusu sadaka,Zaka na malimbuko bila kusahau fungu la kumi,lasivyo umaskini utagonga hodi
  12. Lukumbisi

    Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

    Nadhani hii inawahusu walio single hasa hii yakutotoa mbegu...si ndio?
  13. Lukumbisi

    Waungwana hivi unaweza kupata nuksi au bahati ukiwa kwenye mahusiano na mtu?

    "Mimi ni kinyume na mtoa mada yani mimi mtu niliyenae(mke wangu)mama wa watoto wa2 yaani kila jambo nalopanga haliendi na likienda ujue ni jasho na damu"
  14. Lukumbisi

    Kisa nilicho kutana nacho huu mwaka katika kutafuta ajira

    Weka picha ili tujue namna ya kukusaidia na umesomea nini??
Back
Top Bottom