Lukumbisi
Senior Member
- Jan 28, 2022
- 110
- 188
Kuna mzee anauza shamba la mitiki lenye ukubwa wa hekali 7. Mitiki imekuwa imefikia ukubwa kama nguzo ya umeme kwa unene. Mzee anahitaji mil 22 tu, umri umemtupa mkono anaona ni bora ale alichopanda mapema.
Eneo ni Ifakara mkoa wa Morogoro (Shamba lipo Makero-Machipi).
Eneo ni Ifakara mkoa wa Morogoro (Shamba lipo Makero-Machipi).