serikali ya jk yote ni mchwa na ni ma FIRAUNI kweli kweli. nampongeza sana Mb Mbatia kwa kutoisaliti kauli yake na kutowasaliti wa TZ. Hawa wanaojiita ma Poroo Pesa wako kwa ajili ya pesa elimu yao haijawakaomboa
waliopata ajira c zaid ya 10%. je watapata wp hela za kulipa?
VASCO na serikali yake iache kwanza matumizi mabaya ndo waje kutudai hela za HESLB.
WA ARE TIRED WITH THIS ROGUE GOV'T
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.