mchumba wangu na demu wake wa zamani

mchumba wangu na demu wake wa zamani

Wivu, wivu, Ukimchunguza bata alacho hutamla.acha tabia ya kuchunguza simu za mwenzako.hamjaoana umeanza kutapatapa.ulipoingilia penzi la hao wawili ulijuaje kama wamemalizana? subiri jamaa akate kiu
Hello wana Jr, nisaidieni kwa hili, naumia sana bado mchumba wangu ana mawasiliano na mwanamke wake wa wazamani,

nilimpigia sim yule dada na kumhoji kijifanya sio mimi mlengwa ila mlengwa analalamika, dada yule akasema kwani yeye hana hiana aoe yeye atakuwa wa pembeni. kwanza mie matumizi napata ninashida gani? na kweli nilikamata msg za mpesa.

na bado anaendelea kuwasiliana, huyu mchumba anasema ati atamuacha taratibu, kweli hapo nifanyeje?
 
penda palipo na pendo pasipo na pendo achana nako si pendo
 
kha!!! wewe nae ebu ionehuruma nafsi yako. njoo huku kwangu nikupe mapenzi ya kweli. mahawara hawaachani

mzabzab
inaonyesha unajua sana kujali na kucare mioyo inayoteseka kwa mapenzi. nakushauri ufungue kituo cha kusaidia wanawake wanaopata shida katika mahusiano yao, utapata sana wateja.
 

mzabzab
inaonyesha unajua sana kujali na kucare mioyo inayoteseka kwa mapenzi. nakushauri ufungue kituo cha kusaidia wanawake wanaopata shida katika mahusiano yao, utapata sana wateja.

hahaha true that....am very sensitive guy ila tatizo i dnt trust women!!!
kweli nitakuwa natoa ushauri nasaa kwa wanawake wenye matatizo ya mapenzi
 
hahaha true that....am very sensitive guy ila tatizo i dnt trust women!!!
kweli nitakuwa natoa ushauri nasaa kwa wanawake wenye matatizo ya mapenzi

naomba iwe ushauri tuu mkuu teheee teheeeeeee... maana hutashindwa kuweka na special wodi kwa wanaohitaji msaada zaidi ya maneno.....:smile-big:
 
naomba iwe ushauri tuu mkuu teheee teheeeeeee... maana hutashindwa kuweka na special wodi kwa wanaohitaji msaada zaidi ya maneno.....:smile-big:

hahahah kweli kabisa naweza toa huduma ya kugegedwa lol
 
anaponiacha hoi ni pale nilipomwambia ampigie aongee nae nikisikia akagoma.
..ushaliwa,chukua chako mapema au kubali kuyaona makubwa zaidi ya hayo pindi tu utakapoolewa. Ushauri wangu chukua maamuzi magumu atakuheshimu,ukicompromise tu umekwishaaa
 
..ushaliwa,chukua chako mapema
au kubali kuyaona makubwa zaidi ya hayo pindi tu utakapoolewa. Ushauri
wangu chukua maamuzi magumu atakuheshimu,ukicompromise tu
umekwishaaa

nawashukuruni wan jf ushauri wenu ni sahihi kweli niliona mzaha lakini sinema inaendelea, niliyoipata leo kwa mama mkwe bila kujua anaongea na mimi nikali, yele m,dada kumbe anajulikana hd kwa mkwe kanishtaki mara cm haloo we nani mmmh nkashangaa nanasema mie fulani nasikia suti ya mamake mchumba wangu wenani lol, yuko tayar kunipa vidonge, nkakata cm namuliza mchumba anasema amemwambia mama asiingilie,

kumbe mdada ajulikana kote mie chambo tuu.

asanteni mie nimezchia kamba kwa maumivu makali lkn bora iume maramoja lkn itapoa kuliko kidondandugu.

kweli jf inafundisha.
 
Ishu nikwamba yule dada yuko tayari asiolewe fine mana anawatoto wake wawili labda aliachwa mume au mume alikufa cjui, awe hawara tuu sii ishu, hanganganii kuolewa, lkn ss mimi hiyo rroho sina, naona solution nimwache tuu labda

Muache aisee utaumia kipindi kidogo kuliko kujipa moyo kuingia nae kwenye ndoa na utaumia maisha yako yote...
 
Back
Top Bottom