Recent content by LUKENGELE

  1. L

    Januari Makamba mtuhumiwa namba moja wa kukiuka sheria ya matumizi ya mtandandao

    Huyu jawaa sijui kala maharage ya wapi sijui, anafikiri kila mtu ni ccm. Huu ndio ulevi wa madaraka
  2. L

    GE2015 Nape: Fisadi akipitishwa na CCM nitaongoza kundi la vijana kumpinga

    Vingunge wenyewe wa ccm wametulia wanaangalia mwelekeo wa upepo. Nepi yeye anajifanya ndio msemaji wa ccm, na atatumia njia gani kumpinga kama wenye ccm yao watampitisha? Yeye ajiandae kula malimao mpaka achoke.
  3. L

    GE2015 Nape: Fisadi akipitishwa na CCM nitaongoza kundi la vijana kumpinga

    Vingunge wenyewe wa ccm wametulia tu wananaangalia mwelekeo wa upepo. Nepi yeye anajifanya ndo msemaji wa ccm. Atatumia njia gani kumpinga kama atapitishwa na wenye ccm yao? yeye ajiandae kula malimao tu.
  4. L

    CCM yaitisha Kamati Kuu kwa dharura

    Wavivu wa kufikiria na wenye uwezo wa mdogo wa kufikiria wanaamini eti kwa kuwa Makongoro Nyerere ni mtoto wa hayati Julius Nyerere na kwa kuwa Nyerere anaheshimika sana nchini basi hicho ni kigezo tosha cha yeye kuwa rais wa JMT
  5. L

    Kiseryi Chambiri: Mtazame Lowassa vizuri

    Taasisi ya kupamba na kuendeleza rushwa
  6. L

    Zimwi lakata kamba, laanza kuwatafuna waliolifuga

    Hili zimwi mwaka mwaka huu lazima liwatie mimba zisizotarajiwa hao waliolifuga
  7. L

    Kwanini baadhi ya wanaume hawaoi wadada wazuri?

    Hakuna lolote, mwanamke wa kuoa lazima awe mzuri. tatizo wanaume wasiojiamini wanaogopa wanawake wazuri kwa kuwa wanawavutia wanaume kwa kiasi kikubwa sasa kama mwanamke kama hana msimamo ni mtihani kwelikweli.
  8. L

    Lowassa kusababisha ukosefu mkubwa wa ajira kuanzia Julai 2015

    Lowasa kweli kaishika pabaya ccm. Maamuzi yoyote kukata ama kupitisha jina lake lazima "yataitia mimba" ccm mwaka huu.
  9. L

    Mwendo huu sidhani kama tutafika, tukipishana jambo kidogo tu kasusa

    Mkuu hata gari mpya huwa inakuwa na gurudumu la akiba
  10. L

    Kinana: Haifai kuwapa Wananchi matumaini hewa, tuwaambie Ukweli

    Mkuu tatizo watanzania ni kama misukule hatujitambui kabisa. Ndio maana wanasiasa wanaongea na kufanya wanavyotaka. Kinana ni ccm sasa hayo mawazo yake badala ya kupeleka kwa viongozi serikalini anakuja kuwaambia wananchi nao wanashangilia kabisa. Yaani kama vile ccm inayotawala serikali ni...
  11. L

    Mpenzi wangu hatosheki tunapofanya mapenzi

    Du! Goli nne? Mkuu inaonyesha ukiingiza tu dakika mbili nyingi wazungu hao. Jipange vizuri wakati unapamp hisia zako usiziweke saana kwenye kukojoa
  12. L

    Tazama Libya Ya Gadaffi Vs Demokrasia Ya Marekani

    Ni kweli mkuu hawa jamaa ni viazi kwelikweli. Akili zao za kushikiwa
  13. L

    Lowasa: Hakuna wakuni kata jina ccm.

    Mwaka huu kweli shughuli ipo ndani ya chichiem
Back
Top Bottom