baadhi yetu tumeshaanza maandalizi ya kuachana na Bongo kama itakuwa chini ya utawala wa Lowassa. bora kutafuta maisha kwingineko duniani
utakuwa Nape wewe
baadhi yetu tumeshaanza maandalizi ya kuachana na Bongo kama itakuwa chini ya utawala wa Lowassa. bora kutafuta maisha kwingineko duniani
Huyu mbunge inaelekea mtaalamu wa masuala ya ubunge
wivu na chuki! till when?
lowasandiye aliyetuletea na kushinikiza kampuni feki ya Richmond ambayo haikuwa nauwezo kifedha, kitechnojia wala uzoefu wala mtaji wala haikua na ofisi.Alilazimisha kuwapa zabuni. Kwa mujibu wake na nyie wahuni wenzake hayoyalikuwa maamuzi magumu....ALILAZIMISHA TZ KUINGIA KWENYE MKATABA WAKIHUNI KWAMASLAHI YAKE yeye lowasa na mapacha wake wawili.Acha uongo wa kudanganya wajinga.
Siasa za uongo ndio zinazotufanya tumkubali Lowasa na kuwapuuza washenzi na wanye chuki kama wale waliomuua Gadaf kwa kumuita fisadi leo hii Libya imechafuka na inatumbukia kwenye umaskini.
Musiendekeze siasa za chuki na kusingizia watu mauaji mtaipeleka nchi kubaya kwa chuki tu za kidini na kikanda.
Kama ungekua na akili kidogo tu ungejiuliza Lowasa amuue Mwakyembe kwa kuogopa kutajwa kwenye nini wakati alishatajwa na mamiliini yametumika kuandaa watu wa kumchafua na wanaendelea kumchafua.
Isitoshe ripoti ilishatolewa na imemtaja sasa sogope kutajwa wapi tena?
Kwa nini wasiwe ni wale ambao majina yao hayakutajwa japo walihusika?
Wale ambao hawakutajwa ndio ambao walikua na woga wa kutajwa lakini sio Lowasa ambaye tayari alikua ameshatajwa.
Pia ukumbuke kuwa ile tume haikua ni siri ya Mwakyembe na wala haikuwa ni uchunguzi wa siri wa Mwakyembe bali ilikua ni tume uliyohusisha wajumbe wengi na Mwakyembe alikua ni mwenyekiti tu,hivyo kila jambo liliamuliwa kwa maamuzi ya tume Mwenyekiti peke yake.
Jiulize ni kwa nini % kubwa ya wanaompinga Lowasa ni mawaziri lakini hawajamkamata kwa hayo wanayomsingizia.
Naamini kuwa kama Lowasa amesingiziwa MUNGU atawalipa wale wote waliomsingizia na kuyumbisha taifa na kujenga chuki kwa kumfitinisha na watu kwa kushuhudia watanzania wakimpa Lowasa Urais mwezi octoba.
chunga kauli zako unless una ushahidi.
lowasa hana kipaji cha uongozi ila anakipaji cha uongo.
Uwezo wake ni kuongoza ng'ombe sio watu.
Lowasa ni jipu, ukitumbua vibaya utachafuka wewe, linahitaji timing sana
Watu wanachinja Kobe sembuse na EL!!!
lowasandiye aliyetuletea na kushinikiza kampuni feki ya Richmond ambayo haikuwa nauwezo kifedha, kitechnojia wala uzoefu wala mtaji wala haikua na ofisi.Alilazimisha kuwapa zabuni. Kwa mujibu wake na nyie wahuni wenzake hayoyalikuwa maamuzi magumu....ALILAZIMISHA TZ KUINGIA KWENYE MKATABA WAKIHUNI KWAMASLAHI YAKE yeye lowasa na mapacha wake wawili.
KIFUPI lowasa ANA UJASIRI WA KIFISADI. Wewe huwezi jua kwa nnaliufyatakuzungumzia hili sakata wakati aliahidi.YEYE MWENYEWE HAWEZI KULIKANANA HAWEZIKUJISAFISHA.
Sielewi kazi ya Takukuru kama hawaja kamata Lowasa,
Hili linatosha ku discredit lowassa kuwa rais.
Taasisi ya kupamba na kuendeleza rushwa
Ndio maana wanaotaka lowasa awe rais marazote huwa hawana sababu zozote za msingi na hapo ndipo nguvu ya pesa inapojidhihirisha.
Mtaji wa lowasa ni masini wa aina tatu
1. Masikini wa kipato
2. Masikini wa akili (elimu ndogo)
3. Masikini wa taarifa zinazomhusu lowasa
Chambiri ni mkurya aliwatukana wapiga kura wa Tarime akakimbilia Babati.