Mara nyingi nimeskia tukipewa lawama kuwa watu weusi ni wajinga,but nadhani hakuna race yenye watu wajinga kma waarabu,fatilia mambo yao utjua namaanisha nini.!!
Sahivi wanaishi kama nguchiro ..America ni adui wa siasa za kujitegemea kwa Taifa lolote
Haya Ni Matokeo Ya Kufadhiri Ugaidi.Nani Alaumiwe??!
= kufadhili
Ni ugaidi upi ambao Gaddafi aliufadhili ewe mbwa wa mungu, tueleze. Au kuwafadhili ANC, chama cha Mandela waakti wanapigania siasa za kibaguzi kuondolewa Afrika ya kusini ndiyo "kufadhili ugaidi"? Au kuifadhili AU ndiyo "kufadhili ugaidi"?, maana nijuavyo Gaddafi ndiyo aliyetoa wazo la AU na pia alikuwa mfadhili mkuu wa chama cha Madiba.
= kufadhili
Ni ugaidi upi ambao Gaddafi aliufadhili ewe mbwa wa mungu, tueleze. Au kuwafadhili ANC, chama cha Mandela wakati wanapigania siasa za kibaguzi kuondolewa Afrika ya kusini ndiyo "kufadhili ugaidi"? Au kuifadhili AU ndiyo "kufadhili ugaidi"?, maana nijuavyo Gaddafi ndiyo aliyetoa wazo la AU na pia alikuwa mfadhili mkuu wa chama cha Madiba.