Recent content by luhilaseko

  1. L

    Car4Sale Wapenzi wa magari mazuri msiache kupitia huu uzi ili kuuza au kununua

    Chief,nahitaji Crown,bajeti ni ml.8 cash Sent using Jamii Forums mobile app
  2. L

    Kuchagua upinzani 2020 ni msiba wa kujitakia

    Jina tu Chiwinga limekaa kishogashoga hivyo hata ulichoandika ni ushuzi mtupu Sent using Jamii Forums mobile app
  3. L

    Muwe Mnaangalia Watu wa Kuwaalika, tukomeza zero haiongelewi tena

    nia ya harambee ni kutokomeza ziro,kisha unaalika mtu mwenye ziro nae azungumze unategemea ataongea nini zaidi ya pumba Sent using Jamii Forums mobile app
  4. L

    Alichofanya Mkuu wa Mkoa wa Dar, Makonda kwa Pierre Mzee wa Liquid ni udhalilishaji na kinyume cha haki za binadamu

    ukitaka kujua akili za Bashite zipo makalioni mwake angalia alivyo na makalio makubwa!!! Sent using Jamii Forums mobile app
  5. L

    JF member mliopo Kampala

    Daaah Bwaise!!!nimekumbuka mbali sana enzi nachapa degree ya kwanza Makerere hapo,mitaa ya Angenour,Silk nilikuwa sikosekani,vilevile Kimansulo kwa wadada wanaocheza uchi!!!daaah kweli Makerere 'As We Build For The Future'
  6. L

    Mbowe soma alama za nyakati unapingwa mpaka na wasiri wako wa muda mrefu

    Nina wasiwasi aliwahi kukula Tigo akakuacha ndio maana kila siku Mbowe Mbowe
  7. L

    Natafuta mtu anasafiri kutoka Arusha kwenda Dar mwenye pickup

    Nina Noah naenda Dar kesho,nitafute kwenye namba 0620 46 78 12,nipo Njiro
  8. L

    Naibu Waziri Antony Mavunde apunguze kuendekeza kupendeza na ubishoo na achape kazi tuione!

    nimesoma na Mavunde Masters UDOM 2009-2010,kipindi hicho alikuwa Mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Dodoma,kwanza ni mtu poa sana,lakini pia ni mtu anayependa sana kupiga pamba kali,masutisuti na nguo kali za vijana ndio uvaaji wake,hivyo always huwa yupo smart
  9. L

    Iko wapi Pestana pub Dodoma?

    Chukua Bodaboda waulize Uzunguni watakupeleka simple,au unataka na namba ya mmiliki Frank Mtey nikupe?? Sent using Jamii Forums mobile app
  10. L

    Dah! Kwa hili nimeumia sana

    Duuuh,hata kama ningekuwa mimi ningekutosa tu,haiwezekani naumwa unanipiga calendar hata hela ya panadol,duuh
  11. L

    Kubeti: Huu Ndio mrejesho yangu niingie kwenye mchezo huu miezi 4 ilopita!!

    Nilikuwa nabet sana Football miaka 2 iliyopita. Nilikuwa nakula na kuliwa hivyo Ngoma ilikuwa almost draw. Mwezi wa 3 mwaka huu kuna mdau aliweka bandiko humu la kujifunza kubet basketball akisema ni rahisi kushinda kuliko Football. Nikajifunza ndani ya masaa mawili nikawa nimeshajua jinsi ya...
  12. L

    Private detective/investigator (Mpelelezi binafsi) kwa sasa ni Fursa. Tuitumie!

    Ndugu Malyenge hao ni matapeli walichonga deal,njoo inbox nikusaidie
  13. L

    Ushuhuda wa yaliyotokea Kibiti, huenda maiti za Coco beach zinatokea njia hii

    Ndugu The Valiant na wengine mnaopinga,binafsi nilishafanya kazi Jeshi LA Polisi tena Idara ya Upelelezi kwa miaka 9,niliacha baada ya kumaliza degree yangu ya kwanza 2007,hivyo ninalijua Jeshi vilivyo,ni vema kuacha kupinga kila kitu kama hujui Sent from my itel it1508 using JamiiForums...
  14. L

    Ushuhuda wa yaliyotokea Kibiti, huenda maiti za Coco beach zinatokea njia hii

    Story hii ni ya kweli maana wanaokamatwa kwa mauaji ya huko Kibiti,Mkuranga nk wrote wanahifadhiwa SITAKI SHARI POLISI,nilikuwa katika mpango wa kununua gari mwezi June,hilo gari nililiona KUPATANA,wakati limeletwa ili nilikague kisha nikajiridhishe TRA nikakamatwa na POLISI wa Sitaki Shari...
  15. L

    Mpenzi wangu ananipa romance nzuri ila hataki kunipa penzi

    Tatizo vijana wa siku hizi mmezaliwa kizazi cha instra na smartphone hamna mbinu za medali,hakika jando lilitusaidia sana sisi wakongwe,utaingiaje lodge na binti,umvue nguo kisha ushindwe kumla!!aibu sana hiyo
Back
Top Bottom