Recent content by Luharamula

  1. L

    Arumeru: Diwani Viti Maalumu(CHADEMA), Bi. Josephine Anaeli amejiuzulu

    Anafikiria kujiunga ACT apate ukuu wa wilaya eeeee
  2. L

    RC wa Kilimanjaro, Meck Sadiki na Majaji wawili Wajiuzulu. Rais Magufuli aridhia...

    Hivi kuna msukuma anayeweza kujiuzuru awamu hii kweli!!!
  3. L

    Je, wajua Rais aweza kuteua yeyote hata darasa la saba?. Teuzi hizi hazihojiwi popote na yeyote!

    Mbona sasa umepunguza sifa zingine za wateule wa Rais:- 1: Awe amefoji cheti 2:Awe na kosa la jinai 3:Awe jambazi Mteule wa Rais yuko juu ya sheria za nchi.
  4. L

    Waziri Angela Kairuki: Uhakiki wa vyeti haujafanywa kwa Viongozi walio katika nafasi za kisiasa!

    Hivi wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya nao ni wabunge wa kuteuliwa kumbe!!! Mbona hiyo ibara ya 67 (1) inazungumzia wabunge na sio mamlaka za wakuu wa mikoa au wilaya? Wonders shall never end in Tanzania.
  5. L

    Ni wakati muafaka kuivunja TISS sasa!

    TISS ni kama genge la wahuni kwaajili ya maslahi ya watawala na sio masilahi ya Taifa.
  6. L

    Leo ITV habari kama kipindi maalumu

    Ujinga mtupu mnatafuta air time kwenye vyombo vya habari ili kupata sifa msizo stahili, hamna kazi inayofanyika zaidi ya kutafuta kiki.
  7. L

    UTEUZI: Rais Magufuli amteua Bw. Alphayo Kidata kuwa Katibu Mkuu, Ikulu

    Ni Msukuma kutoka kijiji cha Nyatwari kilichopo mpakani mwa wilaya ya Busega na Bunda mkoa wa Mara.
  8. L

    CCM lazima tujisahihishe, tumezidiwa mbinu

    Kwa sasa mwenyekiti yuko na stress za toto lake lililogeuka kuwa jambazi la kuogopwa hapa mjini
  9. L

    Elibariki Kingu: Kwa hili la RC wa Dar, naomba niwe wa kwanza kufukuzwa CCM

    Sasa Bashite ashambuliwa kila kona kasoro kwa baba jesca.
  10. L

    Napenda kuifahamu Tanganyika Law Society(TLS)

    Hii ni maada ya jioni subili kwanza Rais atajwe.
  11. L

    Rais wa Benki ya Dunia kuwasili nchini Jumapili

    Ataongea naye kwa lugha gani?
  12. L

    Arusha: Lissu ang'ara, asanteni Waziri Mwakyembe na Serikali nzima

    Lisu ndo kiboko ya mwakyembe na jpm.
  13. L

    Muhtahsari wa mabadiliko ya Katiba ya CCM ya mwaka 2017

    Kilicholengwa hapo ni mabadiliko ya namba 9 maana hana ushawishi ndani ya chama zaidi ya kutumia ubabe wa mamlaka.
Back
Top Bottom