RC wa Kilimanjaro, Meck Sadiki na Majaji wawili Wajiuzulu. Rais Magufuli aridhia...

utumishi ni dhamana, ni

vyema watumishi wengine

wakalitambua hilo!!

kustaafu kwa hiyari ni heshima kubwa zaidi na huu ni mfano mzuri wa kuigwa na wengine tuwaachie vijana nao walitumikie taifa lao.
 

c.c Malaika Mkuu ; kisu cha ngariba ; OSOKONI ; mwasu ; mputa ; Kali3 ; tanga kwetu ; Salary Slip ; ibambasi ; samora10 ; BAK ; Daudi mchambuzi ; Pohamba ; Mkwepa Kodi ; Simiyu Yetu ; OKW BOBAN SUNZU ; Mshana Jr ; Sky Éclat ; QUIGLEY ; kkarumekenge ; katavi ; nifah : crashwise ; barafuyamoto ; TL. Marandu ; Zawadi B Lupelo
Mbona ume quote Wanachama wenzio wa MMU
 
Dah,inabidi viongozi wengine nao waige mfumo huu wa kujiuzuru,Ila na maisha ya kitaa yalivyokuwa magumu cjui watayaweza
 
Kuna "kiumbe cha kisiasa" kishatanua midomò yake, kikijiliwaza, ktk imani wataingia kujazilia tumbo....
 
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI​

Ikulu, Dar es Salaam.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dkt. John Pombe Magufuli ameridhia maombi ya kuacha kazi kwa viongozi wafuatao;

1. Ndg. Saidi Meck Sadiki - Aliyekuwa Nlimu Wa Mkoa wa Kilimanjaro.

2. Ndg. Aloysius Kibuuka Mujulizi - Aliyekuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania na Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania.

3. Ndg. Upendo Hillary Msuya - Aliyekuwa Jaji wa Mahakama Kuu Tanzania.

Taarifa iliyotolewa leo tarehe 16 Mei, 2017 na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi inaeleza kuwa Mhe. Rais Magufuli ameridhia maombi ya kuacha kazi kwa viongozi hao kuanzia tarehe 15 Mei, 2017.

Mikurugenzi wa Mawasiliano ya Rais,
IKULU Dar es Salaam 16 Mei, 2017

Bashite awamu yake bado haijafika?
 
HAPANA.HII NI VIZURI KUKATOLEWA UFAFANUZI.INAELEKEA KUNA KASHFA(SKENDO) IMEWAHUSISHA VIONGOZI HAWA KTKA UTENDAJI WAO WA KAZI.HIVYO RAIS KAWAHURUMIA KWA AJILI YA MUDA WAO MREFU WALIOTUMIKIA SERIKALI,..AKAWASHAURI WAANDIKE BARUA YA KUACHIA NGAZI.VINGINEVYO WASIPOJIUZULU, ANGEWATUMBUA.
 
Utawajua tu Viongozi wanaojitambua. Hongera yao kwa kutopenda Kupelekeshwa
Kaka usidanganyike na kujiuzuru huko,waafrika hatuna utamaduni wa kujiuzuru na awamu hii haina mbeleko ya kuwabeba watu,ukiona mswahili anajiuzulu jua kuna kitu nyuma ya pazia na si kitu cha manufaaa ya umma bali manufaa binafsi,nadhani utakumbuka hata aliyekuwa waziri mkuu aliyejiuzuru unadhani alipenda huko kujiuzuru?hiyo ni lugha ya kistaarabu kwa kusepa kiungwana,usipataka subiri ya kusubiri
 
HAPANA.HII NI VIZURI KUKATOLEWA UFAFANUZI.INAELEKEA KUNA KASHFA(SKENDO) IMEWAHUSISHA VIONGOZI HAWA KTKA UTENDAJI WAO WA KAZI.HIVYO RAIS KAWAHURUMIA KWA AJILI YA MUDA WAO MREFU WALIOTUMIKIA SERIKALI,..AKAWASHAURI WAANDIKE BARUA YA KUACHIA NGAZI.VINGINEVYO WASIPOJIUZULU, ANGEWATUMBUA.
Umenena kaka,manyumbu yanafikiri vinginevyo,wamesahau hata Lowassa nae alijiuzuru sio kwa kupenda bali kulazimika
 
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI​

Ikulu, Dar es Salaam.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dkt. John Pombe Magufuli ameridhia maombi ya kuacha kazi kwa viongozi wafuatao;

1. Ndg. Saidi Meck Sadiki - Aliyekuwa Nlimu Wa Mkoa wa Kilimanjaro.

2. Ndg. Aloysius Kibuuka Mujulizi - Aliyekuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania na Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania.

3. Ndg. Upendo Hillary Msuya - Aliyekuwa Jaji wa Mahakama Kuu Tanzania.

Taarifa iliyotolewa leo tarehe 16 Mei, 2017 na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi inaeleza kuwa Mhe. Rais Magufuli ameridhia maombi ya kuacha kazi kwa viongozi hao kuanzia tarehe 15 Mei, 2017.

Mikurugenzi wa Mawasiliano ya Rais,
IKULU Dar es Salaam 16 Mei, 2017

Nawapongeza kwa uamuzi waliochukua na Mheshimiwa Rais kwa kuweza kukubali ombi yao ila kwa wana Kilimanjaro tumekosa jembe (Rc Meck Sadick)
 
Nimesikia kwa mtu mtaani kuwa Mkuu Wa mkoa Wa Kilimanjaro Meck sadiki amejiuzulu. Naomba mwenye habari kamili atujuze kama ni kweli.
Tupe na sababu ikibidi
 
Hawa wamelazimishwa kujiuzulu. Raisi hakuweza kuwatumbua, akawalazimu kujiuzulu.

Imekosekana jinsi ya kuwatumbua , hawa walikuwa NA integrity ya kazi yao, mengine waliyotumwa kuyatimiza yaliwashinda. Kwa hivyo wakaambiwa watoe nafasi.
 
Back
Top Bottom