ujinga, ubinafsi na tamaa zilizopitiliza zinaanzia hapo kwenye kutumia haki yake vibaya, hyo hoja kuipeleka Bungeni kwake ni kosa kubwa kwenye jamii yenye utambuzi na kujielewa na sababu tosha ya kufanya mamlaka na Taasisi zenye mlengo wa kuendeleza ustawi wa jamii kumulika taa kwa mhusika...
Ila king'amuzi cha Azam kinaenda kufeli kutokana na kutoa Contents zenye chembe za udiniudini na hizi kutolewa Kwa kitaalam. Fuatilia tamthiliya zitazowekwa channel two Sawa nne usiku siku za wiki . Tamthiliya hizi zote zitazowekwa hutukuza dini Fulani na kuonesha dini Fulani haifai.
Ujinga wa level ya juu huanzia hapa kwa kuzani kuwa mtu aliyeko sehemu kama Tandaimba hawezi kuwa na uelewa mkubwa kumzidi mtu aliyoko Urusi. Usichambue mtu kwa kurefer wapi anatoka, weka kwenye mzani hoja zake na upangue kwa hoja. Acha kelele za Kishangingi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.