Recent content by lufuo

  1. L

    Mwl mwenzangu anataka mume

    Niko mbeya uyole anitafute
  2. L

    Mwl mwenzangu anataka mume

    Hii fursa imenipita tuko mkoa mmoja hahaaaa namzidi umri navyopenda walimu sasa.
  3. L

    Single fathers and mothers njooni tujenge familia

    Ni Niko hapa single mama mtoto wa kiume 2years sio tegemezi kama upo single father unaejitambua twende kazi. Hahaaaaaa
  4. L

    MBEYA!!!!!

    Yawezekana si mlevi mbeya carnival hapatamfaaa au unataka akabadilishane mawazo na wale madada poa. Hahaaaa
  5. L

    MBEYA!!!!!

    Hahaaaa eti likizooo
  6. L

    Nimewachukia sana wanaume mnisamehe

    Nitunge story ili iweje!!!! Ok nashukuru wako wanaonishauri vzr na nafarijika ukiona nimelike comment yako jua nimeuoenda ushauri wako na umenifariji pia nsufanyia kazi. Na ww tunga yakwako uweke hapa tukushauri ili utafute kick!!!! Nipisheee so lazima kukoment
  7. L

    Nilivyofanya bonge la sherehe baada ya mke wangu kufukuzwa kazi

    Hii kampuni iliyofungiwa hope itakuwa zantel mpe pole sana wife masna wanyakazi wake wanahangaika sana
  8. L

    Nimewachukia sana wanaume mnisamehe

    Haha Nina kazi nzuri hata baba hajawahi kuwa nayo mwalimu was primary labda shangazi yako
  9. L

    Nimewachukia sana wanaume mnisamehe

    Nimjeuri sana hasa kwa mambo ya kijinga
  10. L

    Nimewachukia sana wanaume mnisamehe

    N Niko siftieeee mnoooo hakuna hats dalili ya chunusi usoni mwangu sipaki lotion lkn ndio nang'aaa mnoii kama mwanga was kibatari
  11. L

    Nimewachukia sana wanaume mnisamehe

    On a povu linavyokutoka pole yako kumbe wamekufanya ATM machine hshaaaa hata sisi tunazo za kuhonga uje nikuhonge marioooo wewe!!!!!
  12. L

    Nimewachukia sana wanaume mnisamehe

    Duuh pole sana
  13. L

    Nimewachukia sana wanaume mnisamehe

    Kakurupuka tu huyu simfaham anajifurahisha
Back
Top Bottom