Mwenyewe yuko wapi?Udalali mpaka kwenye jambo hili?Anyway kama kweli yuko serious anipm nimwambie kitu!!!Salama jamani,
Nisiwe mnafki japo mwenyewe niliweka tangazo humu kutaka mume lakini niliochat nao hatukuwahi fikia muhafaka ila baadae Mungu alinijaalia nikampata mwanaume katika mazingira ya face to face.
Bado nina iman mpo mlioserious ni mwl yupo Mbeya Uyole ana 28 hajawai zaa she is a Ngoni one primary school teacher maji ya kunde kuelekea weupe mrefu wastani ila kwenye ufupi hayumo mpole sana mambo mengine mtaulizana.
Samahani jamani yupo serious sana.
Naomba pm msije na utaniutani jamani plz.
Hii fursa imenipita tuko mkoa mmoja hahaaaa namzidi umri navyopenda walimu sasa.Salama jamani,
Nisiwe mnafki japo mwenyewe niliweka tangazo humu kutaka mume lakini niliochat nao hatukuwahi fikia muhafaka ila baadae Mungu alinijaalia nikampata mwanaume katika mazingira ya face to face.
Bado nina iman mpo mlioserious ni mwl yupo Mbeya Uyole ana 28 hajawai zaa she is a Ngoni one primary school teacher maji ya kunde kuelekea weupe mrefu wastani ila kwenye ufupi hayumo mpole sana mambo mengine mtaulizana.
Samahani jamani yupo serious sana.
Naomba pm msije na utaniutani jamani plz.
Mwanake mwenye tabia njema awezi tafuta ndoa mtandaoni makanisani misikitini mmeshindwa nendeni ktk nyumba za ibada tangaza nataka mume uone ila usilete mashauzi ya ks@/*8#*e oh awe na elimu hii sijui benz.mmechelewa sana jinsia ya kiume hua inatafakarii sana juu ya mademu wa mitandaoniSalama jamani,
Nisiwe mnafki japo mwenyewe niliweka tangazo humu kutaka mume lakini niliochat nao hatukuwahi fikia muhafaka ila baadae Mungu alinijaalia nikampata mwanaume katika mazingira ya face to face.
Bado nina iman mpo mlioserious ni mwl yupo Mbeya Uyole ana 28 hajawai zaa she is a Ngoni one primary school teacher maji ya kunde kuelekea weupe mrefu wastani ila kwenye ufupi hayumo mpole sana mambo mengine mtaulizana.
Samahani jamani yupo serious sana.
Naomba pm msije na utaniutani jamani plz.
Kama bado hajapata mume nitumie picha na namba yake pmSalama jamani,
Nisiwe mnafki japo mwenyewe niliweka tangazo humu kutaka mume lakini niliochat nao hatukuwahi fikia muhafaka ila baadae Mungu alinijaalia nikampata mwanaume katika mazingira ya face to face.
Bado nina iman mpo mlioserious ni mwl yupo Mbeya Uyole ana 28 hajawai zaa she is a Ngoni one primary school teacher maji ya kunde kuelekea weupe mrefu wastani ila kwenye ufupi hayumo mpole sana mambo mengine mtaulizana.
Samahani jamani yupo serious sana.
Naomba pm msije na utaniutani jamani plz.
Ulifanikia mkuuMpe namba hii anicheki wasap 0718172475
Tangazo lako halija kizi vigezohajanambia mkuu
Si kweli, ndo wazuri kujenga familia kwanza huwa wameptia mengi nafasi ya kutulia ni kubwa,labda tu km unampango wa kuzaa watoto zaidi ya kumi.Mkiwaga na miaka 25 mbwembwe nyingi saivi mnahaha
*Kuoa mwanamke aliyefikisha miaka 28 ni sawa na kununua gazeti jion*