Recent content by Lucchese DeCavalcante

  1. Lucchese DeCavalcante

    JamiiForums Tanzania App za mikopo kama YakoMkopo, PesaSasa kupotea Play Store – hii ni hatua sahihi?

    Wakuu, Nimegundua jambo la kushangaza – baadhi ya app za mikopo kama YakoMkopo na PesaSasa hazionekani tena kwenye Google Play Store. Uki-search zinaonyesha “This app isn’t available.” Swali ni: Je, hii ni hatua ya makusudi dhidi ya hizi app? Kama ni kweli zinafanya udhalilishaji, riba kubwa au...
  2. Lucchese DeCavalcante

    JamiiForums Tanzania Bima ya afya kutoka jubilee

    Vipi kwa familia hii? Baba miaka 45 Mama miaka 31 Watoto wawili: Miaka 6 na wa mwisho miezi 7: Leta bei ya jumla kwa Premier, Executive and Royal
  3. Lucchese DeCavalcante

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya bima za afya

    Weka vifurishi vya Jubilee na Stategis itapendeza sana
  4. Lucchese DeCavalcante

    JamiiForums Tanzania Mama Diamond; Wanaotukana mama za wenzao nawaona ni wapuuzi, Asema ameolewa na atazaa muda si mrefu

    Nyumba ambayo haina Baba na yuko hai huwa ni laana tupu
  5. Lucchese DeCavalcante

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mdada wa mjini halafu unanuka kwapa. WTF!!!

    Dah
  6. Lucchese DeCavalcante

    JamiiForums Tanzania Hawa ndiyo wahenga Bongo waliooa wazungu

    Vipi Le Kopoz aka Le kubwa jinga aka Le mzee wa wabeibe wakali kama womanity
  7. Lucchese DeCavalcante

    JamiiForums Tanzania Hi

    Karibu sana Mamy
  8. Lucchese DeCavalcante

    JamiiForums Tanzania TEGETA, DAR: Meja Jenerali Mstaafu wa JWTZ, Vicent Mritaba apigwa risasi 5 na majambazi

    May be I am too blind to see, the victim does not look like someone who has been gunned down by 5 bullets. Ni ngumu anaonekana kama mgonjwa wa Malaria sioni dalili la jeraha!
  9. Lucchese DeCavalcante

    JamiiForums Tanzania TEGETA, DAR: Meja Jenerali Mstaafu wa JWTZ, Vicent Mritaba apigwa risasi 5 na majambazi

    Nihatari kweli kweli. Huyu Major Jenerali mstaafu kakosa nini jamani?
  10. Lucchese DeCavalcante

    JamiiForums Tanzania Dar: Ofisi ya Mawakili ya Prime Attorney advocate zilizopo upanga, imevamiwa na Watu Wasiojulikana

    Hivi Manji account zake za Bongo ziko frozen, if yes then inawezekana anatunza hela huko kwa wakili wake kwenye Safe kwa pesa anazochukua from his overseas accounts. Hana access na bank hivyo wapigaji yawezekana walinusa kuwa Safe ina mpunga wa kutosha.
  11. Lucchese DeCavalcante

    JamiiForums Tanzania Natafuta Mchumba

    Changamkieni fursa
Back
Top Bottom