May be I am too blind to see, the victim does not look like someone who has been gunned down by 5 bullets. Ni ngumu anaonekana kama mgonjwa wa Malaria sioni dalili la jeraha!
Hivi Manji account zake za Bongo ziko frozen, if yes then inawezekana anatunza hela huko kwa wakili wake kwenye Safe kwa pesa anazochukua from his overseas accounts. Hana access na bank hivyo wapigaji yawezekana walinusa kuwa Safe ina mpunga wa kutosha.
Mama mkwe anaonekana mpweke sana kama mna nyumba kubwa muiteni mkae nae wapate muda wa kuongea na mwanae ana kwa ana na kama bado analipa 'mtoe mama mkwe upweke' wewe ndio baba wa familia zote mbili. Man up and do the necessary
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.