Recent content by Lucchese DeCavalcante

  1. Lucchese DeCavalcante

    Bima ya afya kutoka jubilee

    Vipi kwa familia hii? Baba miaka 45 Mama miaka 31 Watoto wawili: Miaka 6 na wa mwisho miezi 7: Leta bei ya jumla kwa Premier, Executive and Royal
  2. Lucchese DeCavalcante

    Vifurushi vya bima za afya

    Weka vifurishi vya Jubilee na Stategis itapendeza sana
  3. Lucchese DeCavalcante

    Hawa ndiyo wahenga Bongo waliooa wazungu

    Vipi Le Kopoz aka Le kubwa jinga aka Le mzee wa wabeibe wakali kama womanity
  4. Lucchese DeCavalcante

    Hi

    Karibu sana Mamy
  5. Lucchese DeCavalcante

    TEGETA, DAR: Meja Jenerali Mstaafu wa JWTZ, Vicent Mritaba apigwa risasi 5 na majambazi

    May be I am too blind to see, the victim does not look like someone who has been gunned down by 5 bullets. Ni ngumu anaonekana kama mgonjwa wa Malaria sioni dalili la jeraha!
  6. Lucchese DeCavalcante

    TEGETA, DAR: Meja Jenerali Mstaafu wa JWTZ, Vicent Mritaba apigwa risasi 5 na majambazi

    Nihatari kweli kweli. Huyu Major Jenerali mstaafu kakosa nini jamani?
  7. Lucchese DeCavalcante

    Dar: Ofisi ya Mawakili ya Prime Attorney advocate zilizopo upanga, imevamiwa na Watu Wasiojulikana

    Hivi Manji account zake za Bongo ziko frozen, if yes then inawezekana anatunza hela huko kwa wakili wake kwenye Safe kwa pesa anazochukua from his overseas accounts. Hana access na bank hivyo wapigaji yawezekana walinusa kuwa Safe ina mpunga wa kutosha.
  8. Lucchese DeCavalcante

    Natafuta Mchumba

    Changamkieni fursa
  9. Lucchese DeCavalcante

    Natafuta Mchumba

    Nami pia natafuta binti ila awe mweupe mwenye umbo zuri na roho safi kuanzia miaka 25 na kuendelea anicheki PM au kwa email mchumba2017@gmail.com
  10. Lucchese DeCavalcante

    Mama mkwe anapiga simu usiku saa nne saa tano nikiwa kitandani

    Mama mkwe anaonekana mpweke sana kama mna nyumba kubwa muiteni mkae nae wapate muda wa kuongea na mwanae ana kwa ana na kama bado analipa 'mtoe mama mkwe upweke' wewe ndio baba wa familia zote mbili. Man up and do the necessary
Back
Top Bottom