Mfano huku maeno ya mikochen tangu mwezi wa pili hakuna majina lakin bili inatoka na leo pia wameleta bili wakat maji hakuna na hayajawahi toka hata siku moja lakin bili imekuja karibia 40k
Nilibeba block kama 100+ sasa ile natembea nikashangaa misuli imekaza aisee nililiachia kama lilivo alavu ilikua kwenye msingi uliojemgwa nikasema liwalo na liwe bahat nzuri msingi haukuvunjika maana tofali zilikua imara. Hii kazi achaga tu
Jamaaa we ni fala aisee ko mwana dege dege ukamtafuta alipo alooo nimecheka sana aiseee mwamba umepitia mengi lakin inaonesha hupendi shida aisee mana kila ikifikia pagumu unapotea aiseee
Nilirudi nyumban bega na mkono umechubuka achaga tu hii kazi sio rahisi afu nlikua na homa pindi naenda ila kurudi homa yenyewe ikapotelea kusikojulikana
Sasa dini na dodoso za kujua idadi ya wanyama vina uhusiano gani mi naona kama maslahi ya nchi yataelemea itikadi flani huoni nchi inaweza isifike popote kimaendeleo. Kwa maana mtu kujua mfano kama una nguruwe au laah kuna punguza ama kuongeza nini kwenye dini yake. mi naona mtazamo wako ni very...
Si yeye aliyejipa hizo sifa bali watu wameona kazi zake na wanayasema wayaonayo. Labda tatizo ni kwamba watanzania ni siku zote wamezoea kuona uozo sasa manpoona kuwa kuna kazi ya kwel inafanyika hamuwez kukubali kwa sababu ni pesmistic in nature
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.