Recent content by Lucas Mganda

  1. L

    JamiiForums Tanzania Natafuta tractor used 4WD

    Mkuu naomba nicheki inbox
  2. L

    JamiiForums Tanzania GE2025 Bashe ashinda kura za maoni CCM, Jimbo la Nzega Mjini

    Waeleze hawa, Mhe bashe ni mzalemdo wa nzega kwa kiwango cha juu Sana, hongera Sana wajumbe mmeonyesha uungwana wa hali ya juu Sana
  3. L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Lodge kali kwa bei rafiki jijini Dar es Salaam

    TEMEKE mbele kidogo ya stand ya Sudan kama unaelekea mbagala Luna moja unaitwa Graka hotel iko poa Sana bei 30000
  4. L

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Jimboni kwa Bashe moto unawaka anapumulia mashine

    Yaani wewe jamaaa yaani mashili amshinde BASHE???
  5. L

    JamiiForums Tanzania Je, Mpunga umeibiwa Kimazingara: Ukweli au Tamaa?

    Hapo Umepigwa babu,je uliwahi kuliona shamba baada ya kupanda mpunga,? Maana hapa naona kabisa dalili kuwa uliigwa kuanzia hela ya kukodi Hadi kuvunia kwa maana ya kwamba shamba hakulima
  6. L

    JamiiForums Tanzania Serikali ya awamu ya sita imetekeleza Ilani Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi 2020-2025 katika Eneo la Umwagiliziaji kwa asilimia 82 mpaka sasa

    Unngesema kwa upande wako uko mkoa gani upewe details mkuu, kazi zinafanyika huku ground kwa wingi na weredi wake
  7. L

    JamiiForums Tanzania Safari ya Yanga kuishia kwenye makundi?, Mc Alger na Al Hilal zitasonga mbele Robo fainali?

    Al hilal anapoint 10 ameshafuzu maana Kati ya mc Alger na yanga kuna mmoja hawezi kufikisha point 10 mathematically
  8. L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushawahi kujichanganya kimapenzi mpaka ukawa unawaza hapo nyuma ulikosea wapi?

    Patrick utskapo fika mwisho mwa kisa hiki please weka contact zako mkuu, February nakuja meanza likizo, tuonane walau tupate bia aise
  9. L

    JamiiForums Tanzania Anayefahamu kijijini wanakouzwa mashamba Kati ya laki 2 Hadi 5 anijuze popote Tanzania

    Nitafute rukwa wilaya ya kalambo kuna heka 150 special kwa mahindi, maharage na mazao mengine bei ni 100000 per heka weka ya udalili 50000 per heka
  10. L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kabla hujaoa Usukumani, zingatia haya ili ndoa yako idumu

    Inaonekana hujawahi kufika kahama, fuatilia ujue Mbarali inazalisha tan ngapi kwa mwaka ndo urudi tena
  11. L

    JamiiForums Tanzania Utajiri upo katika kilimo bora cha mpunga, chukua nondo hizi

    Acha kuchafua kabila la watu, sumbawanga, runway, kigoma, mbarali unataka kuniambia watu wasio wasukuma hawapati mazao? Acha uzembe boresha kilimo chako
  12. L

    JamiiForums Tanzania Mbet wamefilisika au wanataka kunitapeli?

    Ndg hakuna aliyetapeliwa maana ninachojua mimi ukiwapigia baraza LA michezo masaa 2 mengi sana I'm utakuwa umelipwa
  13. L

    JamiiForums Tanzania Wapi maeneo mazuri zaidi kwa kilimo cha mahindi SUMBAWANGA?

    Mara nyingi inacheza 200000-250000 per eks
  14. L

    JamiiForums Tanzania Utajiri upo katika kilimo bora cha mpunga, chukua nondo hizi

    Tatizo unalima kienyeji, jaribu kutumia mbegu ya saro 5 then weka hata mifuko 2 ya mbolea unaweza kuona tofauti
  15. L

    JamiiForums Tanzania LATRA yaruhusu Mabasi ya Dar - Mtwara yapite Barabara ya Songea, Makambako, Iringa kwa dharura

    Hakuna barabara Kati ya liwale - ifakara pia liwale- Nangurukuru haipitiki hapa ndo naona umuhimu wa serikali kutengeneza barabara Kati ya liwale na ifakara
Back
Top Bottom