Boutafrica
JF-Expert Member
- Dec 11, 2014
- 1,260
- 2,744
- Thread starter
- #21
Pia kuna mashirika,viwanda na taasisi flan kwa baadhi ya mikoa huwa naona wanamiliki matractor,hv nayapataje yale nikitaka waniuzie used😀
Natafuta tractor iliyotumika ambayo inatembea na ipo katika hali nzuri,.... Nahitaji tractor tu bila accessories zake.
Lakini je, ninaweza kununua tractor kwa kuunga unga, yan ninunue mkweche kisha nikae da kuutafutia engine mpya, gear box mpya kisha nikaliunga?
hiyo nyota nne ndo ya upepo unagusa tu af difu kubwa kwhy inapita hat sehemu mbaya mkuu.Kwa nyota 1 hii ni ya kawaida tu ila kwenye kilimo hii inakimbiza kuliko nyota 4Mkuu samahani ,kama unaweza kufafanua kidogo hapo unaposema swaraj 744 nyota 1 na nyota 4 inamaanisha nini?
Pili,hapo kwenye staring ya upepo ndo ile kwamb staring unazungusha kwa kidole?