Recent content by Lubuye

  1. L

    Wanawake wanachangia sana ndoa kuvunjika

    Rekebisha kwanza hiyo english yako maana hakuna english ya "I HAS".
  2. L

    Wafanyakazi hakuna haja ya hii Mei Mosi hapa muwe mnaendelea tu kazi zenu

    Kama leo ndio umeliona hilo basi naweza sema ulichelewa sana!!
  3. L

    Mchumba wangu kamtumia ex-wake picha za uchi

    Na wewe tafuta mwingine mtumiane hizo picha kama huwezi kutumiana na huyo uliyenae sasa.
  4. L

    Kwa miaka 4 iliyopita sijaona beki wa kati kama Rio Ferdinand

    Bologna hapo ulipomtaja nesta ni nafasi ya maldin.
  5. L

    Kachukua nguo yangu ya ndani

    Hiyo mitazamo hakuna mwenye uhakika nayo hata mmoja. Pengne ameichukua iwe km kumbukumbu kwake maana mwenyew ulishasema kuwa anakupenda sana.
  6. L

    Shaffi kwa nini humkubali Ronaldo?

    Mimi nilichoona lile goli la ronaldo Halina tofauti na lile goli la Rooney. Japo naona hata kocha wake amesema halijafikia goli lake la mwaka 2002.
  7. L

    Zitto Kabwe: Kufufua ATCL ni shabaha yetu sote Watanzania. Tunapishana kwenye mbinu za utekelezaji

    Taarifa kwa mtoa mada!! Zito siyo mbunge wa Kigoma kusini. Zito ni mbunge wa Kigoma mjini.
  8. L

    Hivi unaweza ukawa hujui Kiingereza cha Kuongea lakini cha Kuandika Twitter kikawa kimenyooka?

    Labda niulize tu kama na wewe umedai kuwa hujui kiingereza sasa huwa unatambuaje kuwa mwenzio anaandika kiingereza kilichonyooka!!?
  9. L

    Ushauri: Nimempa mimba binti ambaye si wa ndoto zangu

    Mtoa mada naona unataka kucheza na akili za wanajamvi humu ndani!! Km aliogopa vibaka kwanini usiku ule kwanini usingemsindikiza kisha ukarudi geto kwako!!? Mada zingine muwe mnakaa nazo wenyewe vichwani mwenu!!
  10. L

    Mke wangu ananiwekea masharti kwenye tendo la ndoa, nimechoka kuvumilia

    Ingependeza km ungetoa na sababu za mke wako kuwa ivo. Na km hakuna sababu hata moja basi wewe ni mme bwege na pengine hufai hata kuitwa mwanaume!! I'm ver sor.
  11. L

    Wasafi TV kuanguka kabla ya kuanza

    Time will tell.
  12. L

    Zambian former Vice President, Nevers Mumba sentenced to 3 months imprisonment

    Waswahili wanasema "kelele za vyura hazimzuii ngo'mbe kunywa maji".
  13. L

    Ushauri, Maoni, Mapendekezo na Pongezi kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda

    Fasihi ndio mpango mzima, mm naungana na waliokuelewa. Genta nimekuelewa sana. Hakika uko vizuri. Lakin huko mbele za haki asitarajie kupewa hayo madaraka maana sidhan kule kama yohana atakuwepo.
  14. L

    Mambosasa: Wakiandamana kupitia mitandao ya kijamii hatuna shida, ila wakiingia barabarani wasijutie

    Kama unadhani itakuwa kama unavyofikiria siku hiyo wewe ingia barabarani tu!! Bila shaka utajua kuwa polisi wana ndugu zao au hawana. Ningependa kumuona hata mhamasishaji mkuu akiwa yupo barabaran katika ukanda huohuo wa kamanda.
Back
Top Bottom