Ingependeza km ungetoa na sababu za mke wako kuwa ivo. Na km hakuna sababu hata moja basi wewe ni mme bwege na pengine hufai hata kuitwa mwanaume!! I'm ver sor.
Fasihi ndio mpango mzima, mm naungana na waliokuelewa. Genta nimekuelewa sana. Hakika uko vizuri. Lakin huko mbele za haki asitarajie kupewa hayo madaraka maana sidhan kule kama yohana atakuwepo.
Kama unadhani itakuwa kama unavyofikiria siku hiyo wewe ingia barabarani tu!! Bila shaka utajua kuwa polisi wana ndugu zao au hawana. Ningependa kumuona hata mhamasishaji mkuu akiwa yupo barabaran katika ukanda huohuo wa kamanda.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.