Recent content by Ltm

  1. L

    Mafao ya PSPF

    Ingia kwenye tovuti ya pspf (www.pspf-tz.org) utaikuta formular ya kukokotoa mafao ya mstaafu pale. Utakachohitajika kufanya ni kufata maelekezo ya jinsi ya kuingiza miaka ya ajira na mshahara wa mwisho.
  2. L

    Ufafanuzi: Majina John Heche Vs Wegesa Suguta

    Pamoja na nguvu nyingi alizotumia kumtetea Heche, naamini umejikwaa (kama siyo kwa makusudi!) katika mifano uliyotumia kuelezea utamaduni wa waKurya kuwa na majina mengi. WaTanzania wote tunajua Mwl. Nyerere alikuwa Mzanaki (SIYO MKURYA). Ni kwa nini mtoa uzi anatumia mfano wa majina ya Mwl...
  3. L

    Kauli za viongozi wa Tanzania zenye utata!

    Huna hoja!!!!!! Hata nukuu yenyewe tu si sahihi. Rais wetu ni msomi ambaye asingeweza kusema hayo (kwa kiingereza kibovu hivyo!) Hebu rejea tena ulikoitoa nukuu hiyo, kupata usahihi wa alichokisema! Kuwa mpinzani maana yake siyo kupinga kila kitu anachokisema usiyempenda. Ukweli hubaki kuwa...
  4. L

    Hivi unajua M4C ni nini?

    Matusi hayaelimishi, zaidi ya mtukanaji kujidhalilisha mwenyewe!
  5. L

    Hivi unajua M4C ni nini?

    Kwa muda mrefu sasa CHADEMA imekuwa inahamasisha washabiki/wapenzi wake kujiunga na M4C, au Movement For Change (kwa kiingereza). Wakati mwingine wanaona kwamba jambo lao fulani limefanikiwa, basi ni kutokana na nguvu ya M4C, na kadhalika, na kadhalika......... Baada ya kuambiwa kuwa huko...
  6. L

    Tathmini: M4C Fundraising Dar wapi hapakuwa sawa na nini Kifanyike

    Nadhani mwandishi wa thread hii ameshindwa kujenga hoja yetu kulingana na kichwa cha habari hiyo. Hata hivyo, pengine tulijadili la Movement for Change (M4C) ambayo mwandishi wa thread hiyo kabainisha (kwa ushaidi wa link ya website ya M4C ya huko Uingereza) kwamba ni taasisi ambayo...
  7. L

    Tathmini: M4C Fundraising Dar wapi hapakuwa sawa na nini Kifanyike

    Nadhani mwandishi wa thread hii ameshindwa kujenga hoja yetu kulingana na kichwa cha habari hiyo. Hata hivyo, pengine tulijadili la Movement for Change (M4C) ambayo mwandishi wa thread hiyo kabainisha (kwa ushaidi wa link ya website ya M4C ya huko Uingereza) kwamba ni taasisi ambayo imesajiliwa...
  8. L

    Dr. Chitage: Mashine moja ya CT scan ni sawa na bei ya Toyata shangingi moja!

    Thank you for confirming our President's message that a Land cruiser should not be compared with a CT Scan. Of course our populist politicians, even when they don't have such concrete facts, will shout nonsense to their "faithful listeners" in the quest of winning their hearts (or is it...
  9. L

    Speed 120km/hr ya pikipiki na 120km/hr ya gari?

    Majibu ya jinsi hii ndiyo yanayotakiwa. Kujibu juujuu kwa jambo usilokuwa na uelewa nalo unajianika jinsi usivyoelewa! Kama hujui si unyamaze tu. Ahsante Grey kwa kutoa elimu hiyo muhimu, kwa mifano iliyo rahisi kuelewa, hata kwa ambaye hajui Physics
  10. L

    Serikali kuwaondoa Walimu kwenye sensa, sasa kuwatumia Wanavyuo!

    Demands from other groups in the civil service. Pay reform is an important component of public service reforms that have been going on for years now and they cover the whole public service sector (including teachers!) Kama ilivyo kwa wafanyakazi wote wa serikali wanahitaji kuboreshewa...
  11. L

    Serikali kuwaondoa Walimu kwenye sensa, sasa kuwatumia Wanavyuo!

    Baada ya waalimu kutekelezewa KILA WALICHOJIPANGIA KULIPWA, nani atazuia kundi lingine la wafanyakazi kuibuka (mfano wauguzi n.k.) na wao kuamua KUJIPANGIA WANACHOTAKA KULIPWA, na kisipolipwa nao wanatangaza mgomo? HIVI HAYO MAISHA MAGUMU YANAWAKABILI WAALIMU TU? AU MAKUNDI MENGINE YA...
  12. L

    Siri yafichuka: Membe& Mwakyembe wamuondoa H. Masoud

    Changamoto (siyo kero!) za muungano zinachanganywa na hoja za wa-Zanzibari, wanaoishi nje ya Muungano (kwa sababu mbalimbali !) ambao wanawatumia wenzao huku nyumbani kama vipaza-sauti vyao! Muungano ukivunjika, na kwa sababu hiyo Zanzibar ikatumbukia katika matatizo MAKUBWA zaidi...
  13. L

    Siri yafichuka: Membe& Mwakyembe wamuondoa H. Masoud

    Usianze kwa kutafuta mchawi wakati hata tatizo linalokusibu hujalielewa!
Back
Top Bottom