Mafao ya PSPF

Mafao ya PSPF

ntahagaye

Member
Joined
Feb 28, 2013
Posts
92
Reaction score
19
Waungwana naomba mnisaidie folmural ya ulipaji wa mafao ya mirathi ,msimamizi wa mirathi hiyo anadai marehemu kafanya kazi kwa muda wa miaka 22 na mshahara wake ulikuwa ni zaidi ya milioni na laki tano alikuwa ni mwanachama wa pspf mnaofahamu folmural ya ulipaji anisaidie
 
Waungwana naomba mnisaidie folmural ya ulipaji wa mafao ya mirathi ,msimamizi wa mirathi hiyo anadai marehemu kafanya kazi kwa muda wa miaka 22 na mshahara wake ulikuwa ni zaidi ya milioni na laki tano alikuwa ni mwanachama wa pspf mnaofahamu folmural ya ulipaji anisaidie
Mkuu fafanua kwanza hapo kwenye red ili ueleweke!
 
Waungwana naomba mnisaidie folmural ya ulipaji wa mafao ya mirathi ,msimamizi wa mirathi hiyo anadai marehemu kafanya kazi kwa muda wa miaka 22 na mshahara wake ulikuwa ni zaidi ya milioni na laki tano alikuwa ni mwanachama wa pspf mnaofahamu folmural ya ulipaji anisaidie


Ingia kwenye tovuti ya pspf (www.pspf-tz.org) utaikuta formular ya kukokotoa mafao ya mstaafu pale. Utakachohitajika kufanya ni kufata maelekezo ya jinsi ya kuingiza miaka ya ajira na mshahara wa mwisho.
 
1/54 x PENSIONABLE SERVICE X PENSIONABLE EMOLMENT
 
Sijakuelewa vizuri hapo kwenye ukokotoaji

pensionable service (number of completed months in service) and pensionable emolument (last drawn salary times twelve months; the result you get times 15.5
 
Back
Top Bottom