Tathmini: M4C Fundraising Dar wapi hapakuwa sawa na nini Kifanyike

Kumbe!
Basi hakuna cha kuongeza.


Acha utoto wewe, muwe watu wazima wakati mwingine. Hapa sio FB kuandika ujinga na upumbavu, sasa kwa hoja kama hii mtoto wa chekechea aandike nini?

Join Date : 8th August 2012

Posts : 16
Rep Power : 304
Likes Received: 0

Likes Given: 5
 
Kwenye kauli zake na kampeni zake mashuhuri duniani, mweshimu miwa barack obama alikuwa akitumia slogan ya yes we can. Nashangaa kama jamaa anafikiri bado watanzania hawana TV, nitanukuu kauli yake ya jana mara baada ya nassari kuongea alisema "YES WE CAN" mbona sioni kauli hata moja ya wanachadema. hivi siyo kwamba Mbowe bado anamwigiza OBAMA?embu wadau tuwaelimishe hawa wasanii

kwani kuna kitu gani kipya hapa duniani?slogan zote ziliishatolewa na magreat thinkers.Sijui wewe ulitaka kuwaambi nini wanachadema.hata wewe mwenyewe sijui kama unajipya lolote la kutuambia.kazi kwako chadema wanazidi kupaaa.
 
Nakushauri ukanunue dawa mseto huanze kutumia!

Kwenye kauli zake na kampeni zake mashuhuri duniani, mweshimu miwa barack obama alikuwa akitumia slogan ya yes we can. Nashangaa kama jamaa anafikiri bado watanzania hawana TV, nitanukuu kauli yake ya jana mara baada ya nassari kuongea alisema "YES WE CAN" mbona sioni kauli hata moja ya wanachadema. hivi siyo kwamba Mbowe bado anamwigiza OBAMA?embu wadau tuwaelimishe hawa wasanii
 
Kwenye kauli zake na kampeni zake mashuhuri duniani, mweshimu miwa barack obama alikuwa akitumia slogan ya yes we can. Nashangaa kama jamaa anafikiri bado watanzania hawana TV, nitanukuu kauli yake ya jana mara baada ya nassari kuongea alisema "YES WE CAN" mbona sioni kauli hata moja ya wanachadema. hivi siyo kwamba Mbowe bado anamwigiza OBAMA?embu wadau tuwaelimishe hawa wasanii

sasa ni siri gani iliyofichuka hapo?
Kweli ujinga ni mahaba
 
Unamaanisha kabla OBAMA huyo unaemsema hajafanya kampeni zake neno "YES WE CAN"halikuwepo au nini unacho kimaanisha..hakuna mtu anaemiliki lugha so dont be*****id!
[QUOTEmwafrika daima;4412037]Kwenye kauli zake na kampeni zake mashuhuri duniani, mweshimu miwa barack obama alikuwa akitumia slogan ya yes we can. Nashangaa kama jamaa anafikiri bado watanzania hawana TV, nitanukuu kauli yake ya jana mara baada ya nassari kuongea alisema "YES WE CAN" mbona sioni kauli hata moja ya wanachadema. hivi siyo kwamba Mbowe bado anamwigiza OBAMA?embu wadau tuwaelimishe hawa wasanii[/QUOTE]
 
majitu mengine bbwana....ni mzigo tu..mfano hili lileta mada ..ni mzigo hata nyumbani kwao
 
Acha utoto wewe, muwe watu wazima wakati mwingine. Hapa sio FB kuandika ujinga na upumbavu, sasa kwa hoja kama hii mtoto wa chekechea aandike nini?

Join Date : 8th August 2012

Posts : 16
Rep Power : 304
Likes Received: 0

Likes Given: 5


Wewe ndo umembomoa kabisa! Nilidhani kuna kitu hapo kumbe ndio kwanda anatambaa! Tumfungulie njia kama anavyotaka King Kiki
 
Kwenye kauli zake na kampeni zake mashuhuri duniani, mweshimu miwa barack obama alikuwa akitumia slogan ya yes we can. Nashangaa kama jamaa anafikiri bado watanzania hawana TV, nitanukuu kauli yake ya jana mara baada ya nassari kuongea alisema "YES WE CAN" mbona sioni kauli hata moja ya wanachadema. hivi siyo kwamba Mbowe bado anamwigiza OBAMA?embu wadau tuwaelimishe hawa wasanii

We akili zako kweli ndogo.
 
Hoja kama ya kichovu, kwani Obama ana hati milki ya neno yes we can? Kwa wataaalam wa lugha ni mali ya kila mtu na maneno ni bidhaa ambazo kila mtu anaweza kutumiwa. Hivyo mleta hoja angetafuta namna nyingine ya kumkosoa huyo mbaya wake.
 
member wapya JF huwa wana matatizo sana......hii ni hoja ya kuleta kwa ma great thinkers?? ALUTA CONTINUA aliyokuwa akitumia mwalimu nyerere unajua ilitoka wapi ??
 
Hii thread imekaa kikada zaidi ivi ni kweli u spent ua time kuandika iki ulichokiandika!
 
Nadhani mwandishi wa thread hii ameshindwa kujenga hoja yetu kulingana na kichwa cha habari hiyo. Hata hivyo, pengine tulijadili la Movement for Change (M4C) ambayo mwandishi wa thread hiyo kabainisha (kwa ushaidi wa link ya website ya M4C ya huko Uingereza) kwamba ni taasisi ambayo imesajiliwa rasmi huko Uingereza kwa malengo yasiyokuwa na uhusiano wowote na CHADEMA!!!!! Je ni sahihi kwa CHADEMA kutumia jina hilo au acronym ya taasisi hiyo ya Wazungu kwa namna wanavyofanya? Ingia kwanza kwenye website hiyo (Movement for Change | Home)na kusoma yaliyopo kabla ya kukurupuka na majibu ya haraka haraka!!!!!!
 
Back
Top Bottom