Recent content by loykeys

  1. loykeys

    Benki ya TCB Tumbi Kibaha ni ya ovyo

    Uliyosema ni ukweli mtupu, wahusika wajirekebishe otherwise tutahama tuwaachie bank yenu.
  2. loykeys

    Penzi langu na kijana linataka kunivunjia ndoa yangu

    Aisee..! Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
  3. loykeys

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Liachie chimbo mkuu [emoji1666] Tuishi.
  4. loykeys

    Sikiliza hapa Dj mixing /non stop

    Mtwara
  5. loykeys

    Haya ndio nitakayofanya nikishika hatamu na kuwa kiongozi

    Kwenye swala la kuuendeleza mwenge sikuungi mkono mheshimiwa Rais, mwenge ungeuondoa kabisa uwe sehemu ya makumbusho ya Taifa. Kuukimbiza mwenge kwa zama hizi hakuna tija yoyote ila ni matumizi mabovu ya rasilimali fedha.
  6. loykeys

    Sikiliza hapa Dj mixing /non stop

    Iwawa ya Doctor Sanga sio?
  7. loykeys

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Sawa mkuu, sie hatuna papara tunasheherekea pamoja ushindi maana ukimpiga kanji ni tumempiga wote, muamala ukisoma usinasahau mkuu [emoji120]
  8. loykeys

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hongera sana mkuu, nilikuombea ushindi kwenye hii game ya Napoli... hakika Mungu ni mwema [emoji120]
  9. loykeys

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Na mimi mkuu usinisahau, nipo seat ya mbele, uhakika utashinda [emoji120]
  10. loykeys

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Bravo, na leo tupia code tupite nayo.
  11. loykeys

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kampuni gani mkuu? Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
  12. loykeys

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Chat na operator wao na attach hiyo screenshot uwaoneshe. Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom