Sikiliza hapa Dj mixing /non stop


Humu kuna :
Haddaway _whats love
Sexy eyes
Fantasy_ blaxk box
Cher_believe
Chicco
Tarzan boy_baltimora
London beat_thinking about you
Strike up_blackbox
Pitbul
Usher rymond
Jeniffer lopez
Chaka chaka
Chaka khan
Na zinginezo kama hizo

By..dvj nasmiletz 0627474141
Daah, Whats love ya Haddaway ndio ulikuwa wimbo wa kwanza niliucheza Nightclub na Exparts wa kizungu (Waingereza)nikiwa chalii mdogo huko Arusha, Crystal club miaka ya 90.

Pamoja na ''I have been thinking about you'' wa London beats
 
haina noma mkuu....
Vp Leo unaweza kutoka Paris anapiga dj side nadhani wa kwa matipa.ni PM tukutane Leo nimetoka mtwara ila kesho me naenda masasi bado Niko likizo..iwe Leo TU dj wangu unipe vitu nikupe haki yako njoo na laptop..Kama NI jion ya saa moja una time iwe mashujaa km night njoo paris
 
Vp Leo unaweza kutoka Paris anapiga dj side nadhani wa kwa matipa.ni PM tukutane Leo nimetoka mtwara ila kesho me naenda masasi bado Niko likizo..iwe Leo TU dj wangu unipe vitu nikupe haki yako njoo na laptop..Kama NI jion ya saa moja una time iwe mashujaa km night njoo paris
nipo hapa job...iwawa...ipo jiran na paris hapa
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Dah! Kuna wasanii huwa nawamiss sana...ule mziki wao japo wa ktambo,

kuna wadada walikuwa wanaitwa.Hot girls

kuna h mbizo

piq black

suma lee

solid ground famil

k basil

stara thomas

solo thang

prof ludigo producer

dataz

mo thymes,

d m a wangu wa ndan

University corner

Gorilla killers

Tng squad

Buff g

Sna lee aka snoop lee(mic nadaka)

Snare

Stan boy(alikuaga east coast team)

Renee

Raha p

Jiti

Soggy dogy

........

.......

.......

.....

Wewe unamkumbuka nani???

Hivi hawawezi kurudi katika game hawa jamaaa
 
Back
Top Bottom