A: UPO UPO? upo kwa muda kidogo (muda si mrefu utaondoka)
B: UPO? Je upo kwa muda usiokadiriwa( kikomo cha uwepo hakipo bayana) yaweza kuwa siku, mwezi, Mwaka, miaka n.k
Habari zenu wadau,
Hii ni kwa wazoefu kwenye maswala ya ujenzi na mafundi wa kupaka nyumba rangi. Naombeni mnijuze hii wall master ni kitu gani na ina umuhimu gani? Manake nna quotation hapa ya vifaa vya rangi bei zake zimerange laki tatu mpaka laki sita. Bt hii wallmaster peke yake cost yake...
Nimepata kijiwe cha kunipa kampan, habari, ujuzi, maarifa... Yan a lot of things. Jf lives on my blood yan siwez kupitisha siku bila kuingia humu despite of kuwa na udhaifu wa kutupia post humu.
Habari za zenu wakuu,
Tafadhali mwenye kujua jinsi ya kuview contact zote kwenye HTC anielekeze.
Manake kuna namba nyingi za watu nishasevu bt nikitaka kuwapigia sizioni kwenye phone book, ila wao wakinipigia majina yana display. Sasa sielewi hizi namba zinakuwa zimejisave wapi?!
Msaada...
BATTLE FIELD OF THE MIND by Joyce Meyer.
Hiki kitabu kimefanyika msaada sana kwangu. Nilikuwa mtu we kukata tamaa mapema sana na akili yangu ilijawa na negative thinking also I had a doubtful and confused mind.
But baada ya kusoma hiki kitabu nimekuwa Hutu sana. Please and please kama una hali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.