[emoji3] [emoji3] wanaume mkuje mtueleze ni kwa nini hii taarifa hamuizoei ?? Nina shoga yangu juzi alimwamibia mumewe kua ana mimba mwanaume alifoka utazan kampa mwanafunzi mimba..
Mna nini lakini
Sent using Jamii Forums mobile app
Usivunjike moyo mwaya..kusema ana mtu wake ni gia tu ukikaza atakubali tu .
We ulitaka akujibuje asante Mungu we ndio nlikua nakusubir
MPE muda jenga naye urafiki kwanza
usisahau
kuleta mrejesho
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli mkuu..nowadays mambo yamebadilika sana mtoto wakiume niwakufatilia hapo mgongoni kama wa kike..
Kwa sasa swala la malezi ni gumu kwa watoto wa jinsia zote
Enzi hizo MTU akiwa na madume tu wala hana stress
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.