Recent content by love love baby

  1. love love baby

    Msaada; Misimu mbalimbali ya kilimo!!

    Kwani msimu wa ufuta unaanzaga mwezi gani?
  2. love love baby

    Dismass Lyasa anagombea urais TUCTA

    Nicholaus Mgaya ni Katibu wewe Jamaa, sio Rais
  3. love love baby

    January Makamba: Kwa asilimia 90 nitajitokeza kugombea urais 2015

    Ha haaa hivi umelala bado? Hujui hiyo ni ndoto ya abunuas: ; loh umedoda hujitambui
  4. love love baby

    January Makamba: Kwa asilimia 90 nitajitokeza kugombea urais 2015

    Si kweli nabishana na wewe ; hatutaki mtu mwenye dharau na kujifanya matawi ya juu ; kwa hayo hafai kuwa kiongozi zaidi hata huko bumbuli hawamtamani wanajutaaa
  5. love love baby

    Wanawake walikuwa zamani

    Hivi hujui hakuna wanaume kama wa zaman? Kwani waliweza kuwatunza wake zao na kuwaridhisha ; je wa siku hizi wanaweza? Na hiyo michepuko je? Jiulize
  6. love love baby

    Picha: Birthday ya Le Mutuz

    Kweli aiseh ila pia haikuwa na haja kuchanganya kiswahili na kiingereza mkuu; halafu usijifanye mbabe kubali kosa ujisahishe kwani nina uwezo wa kukusababishia utolewe humu kabisa
  7. love love baby

    Picha: Birthday ya Le Mutuz

    Ha haa shark nimekupenda bure
  8. love love baby

    Picha: Birthday ya Le Mutuz

    Ha haaaa
  9. love love baby

    Menstrual calender

    Napenda zaidi nitumie njia za asili za kuhesabu kalenda ila kuna kipindi nasahau nihesabu vip; naomba msaada wa jinsi ya kuhesabu kalenda ; ila huwa menstrual yangu iko irregular
  10. love love baby

    Best secondary for girls

    Mtoto wangu anamaliza la saba; naomba msaada kujua best na perfect school kwa mtoto wangu wa kike
  11. love love baby

    Kuhusu chuo

    Mdogo wangu kamaliza mwaka huu form six hajachaguliwa bado kwnd jeshini hvy anajipanga na chuo; amesomea PGM ; nataka kujuzwa chuo wanaanza lini process za admission? Na je mambo ya mkopo yakoje kama atataka kusoma nje? Kwan anapenda kusomea urubani ila ikitokea hajachaguliwa kwny hyo faculty je...
  12. love love baby

    Kwa wanaume mliooa je! Wewe ungefanyaje?

    Kunywa sumu ufe hauhitajiki tena duniani mtu wa namna kama yako
  13. love love baby

    Lowassa alifuata nini Iringa?

    Hujui chochote kaa kimyaaa
  14. love love baby

    Kuna 'vigari' mwanaume hutakiwi kuendesha by the way

    Mi najua gar yako pjeout ndo unaturingia mjn hapa keizer?
  15. love love baby

    Naupata wapi utamuu

    Umeonaa eeh
Back
Top Bottom