Recent content by lotto3

  1. lotto3

    Riwaya: Siri

    nipe namba nikutumie
  2. lotto3

    Riwaya: Siri

    Write your reply...Kaka njoo basi
  3. lotto3

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Mwenye nyimbo za new life band jamani
  4. lotto3

    Naombeni nyimbo za 'New life Band-Arusha'

    Write your reply...nami nazitafuta kwa kweli
  5. lotto3

    RIWAYA: Machozi milele

    Write your reply...hahaaaaa saa tatu zipo nyingi
  6. lotto3

    Riwaya: I died to save my President

    Write your reply...RIWAYA : I DIED TO SAVE PRESIDENT SEHEMU YA 12 MTUNZI : PATRICK.CK ILIPOISHIA SEHEMU ILIYOPITA “ Patricia wewe ni rafiki yangu mkubwa na siwezi kukuficha kitu.Inawezekana ukawa mjamzito” “ What?!..That cant happen..” Patricia akahamaki “ Inawezekana Patricia kama mlifanya...
  7. lotto3

    Riwaya: I died to save my President

    Write your reply...RIWAYA : I DIED TO SAVE PRESIDENT SEHEMU YA 11 MTUNZI : PATRICK.CK ILIPOISHIA SEHEMU ILIYOPITA “ Patricia are you ok? Akauliza “ I’m ok” “ Mbona unalia? What happened? Kitu gani kinakuliza? “Sina atizo lolote dada Juliana.I’m just too emotional today.Kila nikikumbuka mambo...
  8. lotto3

    Riwaya: I died to save my President

    Write your reply...RIWAYA: I DIED TO SAVE PRESIDENT SEHEMU YA 10 MTUNZI : PATRICK .CK ILIPOISHIA SEHEMU ILIYOPITA “ Kitu gani kinamshumbua Elvis? He looks so strange.Sijawahi kumuona akiwa katika hali hii toka nimemfahamu.Lazima kuna kitu kinamsumbua kichwa chake.Halafu kuna kitu nimekigundua...
  9. lotto3

    Riwaya: I died to save my President

    Write your reply...RIWAYA: I DIEDTO SAVEPRESIDENT SEHEMU YA 9 MTUNZI: PATRICK.CK ILIPOISHIA SEHEMU ILIYOPITA “Kwanini sikuhizi zote asiniambie kama ana mtuwake anayempenda? Lakinisiwezikumlaumu kwani ni kosa langu.Ningemwambia mapemakwamba ninampendanisingeumia namna hii.Pamoja na hayo,bado...
  10. lotto3

    Operation Jicho la Paka na dakika za Mwisho(with Wolf rules )

    Write your reply...pole Sana mkuu
  11. lotto3

    Hadithi: Mikataba ya kishetani

    Duu mpaka leo haijakaa?
  12. lotto3

    Simulizi: Mama Vanessa

    Shukran bro
  13. lotto3

    Simulizi: Mama Vanessa

    MAMA VANESSA MWISHO SEHEMU YA 20 Yule daktari kwa kuwa alikuwa akimjua aliamua kulivaa swala hilo na kumsaidia. Alimweleza kuwa hasiwe na hofu yeye ataandika ripoti itakayo msaidia lakini pia kwa sasa wasiseme kua amefariki ili kama kuna mali anaweza kuamisha afanye hivyo maana akisubiri...
  14. lotto3

    Simulizi: Mama Vanessa

    MAMA VANESSA SEHEMU YA 19 “Upweke ni ugonjwa mbaya sana huku duniani na upweke unaweza kukufanya ukawaza mambo mengi yaliyopita na kujikuta mwenye huzuni. Nimegundua utakuwa mpweke sana usiku huu na nimeona walau nije nikufute machozi yako” “Kwa sasa sina machozi maana nilishaliia mpaka...
Back
Top Bottom