Recent content by Los técnicos

  1. Los técnicos

    Katiba Mpya (polls)

    Binafsi si dhani kama hoja hii ya kwamba pengine ni hoja ya kundi dogo haina mashiko, kwa sababu hata ile ya kwanza haikutengenezwa na watanzania wote, kilikuwa kikundi kidogo zaidi ya hiki unachodhani leo. Na kibaya zaidi kilikuwa ni kikundi ambacho ni homogeneous, watu wenye itikadi moja ya...
  2. Los técnicos

    Kuna genge limejipanga kuharibu kwa makusudi sifa na hadhi ya Rais Samia

    Hata kana unachozungumza kina ukweli, Rais wetu anachonikera binafsi anashingo ngumu hapendi kuwasikiliza na kuwajali kabisa wananchi wake. Cha zaidi anakuwa ni kama Rais wa maslahi ya wawekezaji. Yuko tayari hata kuwauwa raia wake ili kuyalinda maslahi ya wawekezaji wake hii si sawa hata...
  3. Los técnicos

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Kuna wimbo niliwahi kuusikia chorus inataja Dolla, pulla, ..mitcash na brant Sijawahi kujua uliimbwa na nani niutafute Sauti nzito kama ya mchiz Mox
  4. Los técnicos

    Kuwa single mother siyo laana, msiwaseme vibaya

    Unyama sana. Ha ha haaaa!
  5. Los técnicos

    Nahitaji msaada wa kazi yoyote au kibarua chochote

    Huyu bwana kiufupi katoa connection, sijui kwa nini kuna baadhi mmemchukulia poa?
  6. Los técnicos

    Huenda kuanzia mwaka 2034 nchi itakuwa na vilaza watupu

    Ukiachana na vigezo vya direct entries hawana equivent qualification? Unadhani vyuo vya kati hawasomi Advanced Maths?
  7. Los técnicos

    Huenda kuanzia mwaka 2034 nchi itakuwa na vilaza watupu

    Hapana, kuna graduates wa vyuo vikuu wanatamani kujisajili VETA wapate ujuzi ili wajiajiri. Acha dharau aisee
  8. Los técnicos

    TRA ondoeni Kodi ya Pango kwa mfanyabiashara

    Of course unavyosema ni sahihi, in short TRA wanakwepa majukumu yao. Hapa kuna tofauti kubwa sana kwa wale wanaofananisha PAYEE na huo upuuzi. Kwenye PAYEE Boss/muajiri anamkata mtumishi wake. Lakini kwenye hiyo kodi ya TRA ni sawa na mtumishi kumkata Boss wake/Mwenye maamuzi juu yake, muda...
  9. Los técnicos

    Kuweni wakweli tu. Sura zenu mbaya ndiyo maana hampost picha zenu mitandaoni

    Sura jamii forums unazitaka za nini? Wewe ni tiss? Unataka sura nenda Facebook
  10. Los técnicos

    From the book 'I am the State' (Mimi ni Dola)

    Ilitakiwa pia kijumuishe mauaji ya kinyama na mateso dhidi ya waandishi wa habari, wanaharakati na wanasiasa wa mlengwa wa kushoto yaliyotekelezwa na uongozi wake
  11. Los técnicos

    Katika ujenzi wa Nchi, kuna wengine inabidi waumie ili isonge mbele

    Kuna kitu Kikubwa unataka kuki justfy hebu weka wazi hizo kafara mlizozitoa ili taifa lipone! Ni kama unapima upepo ili either ujitetee au kumtete mtawala na kafara zake
  12. Los técnicos

    Ipo siku walimu wataamka

    Shida ya walimu wa Tanzania ni pale wengi wao pamoja na viongozi wao wa juu walipo amua kujifungamanisha na uchawa kwa chama cha ccm na kuacha kupigania maslahi yao. Na ccm ina tabia moja, huwa haiwajali machawa ila zaidi huwajali watu imara wenye misimamo ili wawalegezee kidogo. Ni sawa na...
  13. Los técnicos

    Nataka kujua kwa kina na ushahidi usio na shaka, ubaya wa Hayati Magufuli ni upi hasa

    1. Alitesa sana wafanyakazi huyu jamaa. Ila jamaa ww ni mnafiki kama ni mtanzania na ukikuwa hapa tz enzi za utawala wake huwezi kuuliza maswali ya kiwaki hivi
Back
Top Bottom