Recent content by Los técnicos

  1. Los técnicos

    BoT: Akiba ya fedha za Kigeni yafikia Tsh. Trilioni 19

    Labda amekopa ili kuweka reserve, sijui ni hesabu ya wapi hii?
  2. Los técnicos

    Licha ya Katiba Mpya huko Kenya lakini imeshindwa kuzuia mauaji, kukosa ajira na njaa. Watanzania mnajifunza nini?

    Fikra zako zinamaanisha hakuna haja ya Tanzania kuipata katiba ya wananchi badala ya hii ya watawala waliyoitengeneza mezani. Unaendelea kujinasibu kwamba, hata kama katiba ya wananchi itapatikana, bado haiwezi kuwazuia watawala dhalimu kuyahujumu maisha ya watanzania. Sawa tuseme hoja zako...
  3. Los técnicos

    GE2025 Abdul Nondo: Waasisi wetu wangesusia Mapambano ya kuwatoa Wakoloni tungepata Uhuru?

    Ikiwa ni kweli amesema hivyo nafikiri anafanya kazi kwa manufaa ya wakandamizaji. Reforms sahihi zikifanyika hata chama chake kitanufaika. Ninaweza ku declair pengine si yeye amesema maneno hayo aidha ulete chanzo au maneno haya ni mali ya makaburu weusi.
  4. Los técnicos

    PreGE2025 Hata Kusipofanyika Reforms, 2025 CHADEMA Ina Fursa!, Ila They Are Just Too Blind to See!, Hawajitambui! No Election ni Utopia!. Wake Up!

    Ushauri wa watu wa aina yako ndiyo umekifanya CCM kidumae, kuwafanya viongozi miungu wenu na hata wanapoiharibu nchi, wasishaurike kwa manufaa yao binafsi. Matatizo ya watanzania yanasababishwa na ubinafsi wa wachache wajanja wanaonufaika. Siku zote hamtopenda kila mtanzania afikie matawi...
  5. Los técnicos

    Ni kweli uwepo wa Pyramids bado ni kitendawili hapa duniani ama kuna siri imefichwa?

    Mimi ni mdau mmojawapo ambaye nimebahatika kufuatilia mara kadhaa video mbalimbali youtube kuhusu nadharia hizi na hata elimu mbalimbali za Egyptology kuna mengi ya kujifunza ambayo bado hakuna majibu ya moja kwa moja, Na mara kadhaa Archaeologists mbalimbali wameonekana kuendelea kuchimba na...
  6. Los técnicos

    Iran contribution to world technology development

    Nafikiri Wa Irani sio waarabu kabisa isipokuwa ni mateka wa waarabu kwa mgongo wa Dini, kwa sasa wengi wana fikra za kujitoa kwenye ukoloni wa Kiarabu unaohalalishwa na uislamu
  7. Los técnicos

    Katiba Mpya (polls)

    Binafsi si dhani kama hoja hii ya kwamba pengine ni hoja ya kundi dogo haina mashiko, kwa sababu hata ile ya kwanza haikutengenezwa na watanzania wote, kilikuwa kikundi kidogo zaidi ya hiki unachodhani leo. Na kibaya zaidi kilikuwa ni kikundi ambacho ni homogeneous, watu wenye itikadi moja ya...
  8. Los técnicos

    Kuna genge limejipanga kuharibu kwa makusudi sifa na hadhi ya Rais Samia

    Hata kana unachozungumza kina ukweli, Rais wetu anachonikera binafsi anashingo ngumu hapendi kuwasikiliza na kuwajali kabisa wananchi wake. Cha zaidi anakuwa ni kama Rais wa maslahi ya wawekezaji. Yuko tayari hata kuwauwa raia wake ili kuyalinda maslahi ya wawekezaji wake hii si sawa hata...
  9. Los técnicos

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Kuna wimbo niliwahi kuusikia chorus inataja Dolla, pulla, ..mitcash na brant Sijawahi kujua uliimbwa na nani niutafute Sauti nzito kama ya mchiz Mox
  10. Los técnicos

    Kuwa single mother siyo laana, msiwaseme vibaya

    Unyama sana. Ha ha haaaa!
  11. Los técnicos

    Nahitaji msaada wa kazi yoyote au kibarua chochote

    Huyu bwana kiufupi katoa connection, sijui kwa nini kuna baadhi mmemchukulia poa?
  12. Los técnicos

    Huenda kuanzia mwaka 2034 nchi itakuwa na vilaza watupu

    Ukiachana na vigezo vya direct entries hawana equivent qualification? Unadhani vyuo vya kati hawasomi Advanced Maths?
  13. Los técnicos

    Huenda kuanzia mwaka 2034 nchi itakuwa na vilaza watupu

    Hapana, kuna graduates wa vyuo vikuu wanatamani kujisajili VETA wapate ujuzi ili wajiajiri. Acha dharau aisee
  14. Los técnicos

    TRA ondoeni Kodi ya Pango kwa mfanyabiashara

    Of course unavyosema ni sahihi, in short TRA wanakwepa majukumu yao. Hapa kuna tofauti kubwa sana kwa wale wanaofananisha PAYEE na huo upuuzi. Kwenye PAYEE Boss/muajiri anamkata mtumishi wake. Lakini kwenye hiyo kodi ya TRA ni sawa na mtumishi kumkata Boss wake/Mwenye maamuzi juu yake, muda...
Back
Top Bottom