Recent content by Los técnicos

  1. Los técnicos

    JamiiForums Tanzania Maria Sarungi: Mastermind wa mauaji kapigwa pin kuingia Ulaya

    Mi mwenyewe nawashangaa badala wakae nchini walete maendeleo kukicha kwa wazungu, wawafungie kabisa!
  2. Los técnicos

    JamiiForums Tanzania Maria Sarungi: Mastermind wa mauaji kapigwa pin kuingia Ulaya

    Sasa si watulie waijenge nchi, kutwa kukicha wanatangatanga kwa hayo mabeberu?
  3. Los técnicos

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kihongosi: Damu ya Watanzania haipo mikononi mwetu CCM, chama hakikuchukua silaha kumdhuru yeyote, Oktoba 29, 2025

    Sasa ccm inatafuta maridhiano ya nini huku na huko?
  4. Los técnicos

    JamiiForums Tanzania Waombaji/wanamaombi tuombee nchi yetu

    Amini Usiamini, Hayo uliyoyaorodhesha ni Matokeo ya mabaya yaliyopandwa na waovu, Unajua kwa nini vitabu vya Dini Bwana ni Mtu wa vita? Kuandikwa ni Mfalme wa amani tu ni jambo moja vipi kuhusu vita?
  5. Los técnicos

    JamiiForums Tanzania Waombaji/wanamaombi tuombee nchi yetu

    Umeona Mungu amesettle na shetani kufanya Amani?
  6. Los técnicos

    JamiiForums Tanzania Wamaasai wanafaa sana kwa ndoa!!

    Sikuhizi wameacha kuwa vya wote? mambo ya mkuki nje??
  7. Los técnicos

    JamiiForums Tanzania Wapinzani wamuomba Rais Samia fursa ya kusafiri naye nje ya nchi. Awakubalia

    Wapinzani wa mama, au sio?
  8. Los técnicos

    JamiiForums Tanzania BoT: Akiba ya fedha za Kigeni yafikia Tsh. Trilioni 19

    Labda amekopa ili kuweka reserve, sijui ni hesabu ya wapi hii?
  9. Los técnicos

    JamiiForums Tanzania Licha ya Katiba Mpya huko Kenya lakini imeshindwa kuzuia mauaji, kukosa ajira na njaa. Watanzania mnajifunza nini?

    Fikra zako zinamaanisha hakuna haja ya Tanzania kuipata katiba ya wananchi badala ya hii ya watawala waliyoitengeneza mezani. Unaendelea kujinasibu kwamba, hata kama katiba ya wananchi itapatikana, bado haiwezi kuwazuia watawala dhalimu kuyahujumu maisha ya watanzania. Sawa tuseme hoja zako...
  10. Los técnicos

    JamiiForums Tanzania GE2025 Abdul Nondo: Waasisi wetu wangesusia Mapambano ya kuwatoa Wakoloni tungepata Uhuru?

    Ikiwa ni kweli amesema hivyo nafikiri anafanya kazi kwa manufaa ya wakandamizaji. Reforms sahihi zikifanyika hata chama chake kitanufaika. Ninaweza ku declair pengine si yeye amesema maneno hayo aidha ulete chanzo au maneno haya ni mali ya makaburu weusi.
  11. Los técnicos

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Hata Kusipofanyika Reforms, 2025 CHADEMA Ina Fursa!, Ila They Are Just Too Blind to See!, Hawajitambui! No Election ni Utopia!. Wake Up!

    Ushauri wa watu wa aina yako ndiyo umekifanya CCM kidumae, kuwafanya viongozi miungu wenu na hata wanapoiharibu nchi, wasishaurike kwa manufaa yao binafsi. Matatizo ya watanzania yanasababishwa na ubinafsi wa wachache wajanja wanaonufaika. Siku zote hamtopenda kila mtanzania afikie matawi...
  12. Los técnicos

    JamiiForums Tanzania Ni kweli uwepo wa Pyramids bado ni kitendawili hapa duniani ama kuna siri imefichwa?

    Mimi ni mdau mmojawapo ambaye nimebahatika kufuatilia mara kadhaa video mbalimbali youtube kuhusu nadharia hizi na hata elimu mbalimbali za Egyptology kuna mengi ya kujifunza ambayo bado hakuna majibu ya moja kwa moja, Na mara kadhaa Archaeologists mbalimbali wameonekana kuendelea kuchimba na...
  13. Los técnicos

    JamiiForums Tanzania Iran contribution to world technology development

    Nafikiri Wa Irani sio waarabu kabisa isipokuwa ni mateka wa waarabu kwa mgongo wa Dini, kwa sasa wengi wana fikra za kujitoa kwenye ukoloni wa Kiarabu unaohalalishwa na uislamu
  14. Los técnicos

    JamiiForums Tanzania Katiba Mpya (polls)

    Binafsi si dhani kama hoja hii ya kwamba pengine ni hoja ya kundi dogo haina mashiko, kwa sababu hata ile ya kwanza haikutengenezwa na watanzania wote, kilikuwa kikundi kidogo zaidi ya hiki unachodhani leo. Na kibaya zaidi kilikuwa ni kikundi ambacho ni homogeneous, watu wenye itikadi moja ya...
Back
Top Bottom