Binafsi si dhani kama hoja hii ya kwamba pengine ni hoja ya kundi dogo haina mashiko, kwa sababu hata ile ya kwanza haikutengenezwa na watanzania wote, kilikuwa kikundi kidogo zaidi ya hiki unachodhani leo. Na kibaya zaidi kilikuwa ni kikundi ambacho ni homogeneous, watu wenye itikadi moja ya...
Hata kana unachozungumza kina ukweli, Rais wetu anachonikera binafsi anashingo ngumu hapendi kuwasikiliza na kuwajali kabisa wananchi wake.
Cha zaidi anakuwa ni kama Rais wa maslahi ya wawekezaji. Yuko tayari hata kuwauwa raia wake ili kuyalinda maslahi ya wawekezaji wake hii si sawa hata...
Of course unavyosema ni sahihi, in short TRA wanakwepa majukumu yao.
Hapa kuna tofauti kubwa sana kwa wale wanaofananisha PAYEE na huo upuuzi.
Kwenye PAYEE Boss/muajiri anamkata mtumishi wake.
Lakini kwenye hiyo kodi ya TRA ni sawa na mtumishi kumkata Boss wake/Mwenye maamuzi juu yake, muda...
Ilitakiwa pia kijumuishe mauaji ya kinyama na mateso dhidi ya waandishi wa habari, wanaharakati na wanasiasa wa mlengwa wa kushoto yaliyotekelezwa na uongozi wake
Kuna kitu Kikubwa unataka kuki justfy hebu weka wazi hizo kafara mlizozitoa ili taifa lipone!
Ni kama unapima upepo ili either ujitetee au kumtete mtawala na kafara zake
Shida ya walimu wa Tanzania ni pale wengi wao pamoja na viongozi wao wa juu walipo amua kujifungamanisha na uchawa kwa chama cha ccm na kuacha kupigania maslahi yao.
Na ccm ina tabia moja, huwa haiwajali machawa ila zaidi huwajali watu imara wenye misimamo ili wawalegezee kidogo.
Ni sawa na...
1. Alitesa sana wafanyakazi huyu
jamaa.
Ila jamaa ww ni mnafiki kama ni mtanzania na ukikuwa hapa tz enzi za utawala wake huwezi kuuliza maswali ya kiwaki hivi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.