Recent content by Lorenzini

  1. L

    JamiiForums Tanzania Kwenye makaratasi watu wana mawazo mazuri, njoo field upate jibu kwanini Profesa wa uchumi UDSM, hataki kuwa mfanyabiashara, kang'ang'ania ajira

    Huku kwenye field, hakuhitaji kelele nyingi😎. Ukikaa vibaya inakula kwako. Waache tu ma profesa waendelee kulamba asali ya Taifa.
  2. L

    JamiiForums Tanzania Diploma in physiotherapy (mazoezi tiba).

    Wewe ni muhitimu wa hii fani?
  3. L

    JamiiForums Tanzania Diploma in physiotherapy (mazoezi tiba).

    Shukran, mkuu.
  4. L

    JamiiForums Tanzania Diploma in physiotherapy (mazoezi tiba).

    Habari za wakati huu wana jamii forum. " Bro, naomba kujua kuhusiana na kozi ya Diploma in physiotherapy (mazoezi tiba), kuanzia kwenye chuo kizuri kinachotoa hiyo kozi (kwa vitendo zaidi) , nafasi za intern, uhitaji wake katika jamii na upatikanaji wa ajira (serikalini na private)" Naomba...
  5. L

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kozi ya afya ya kusoma kwa ufaulu huu

    Akasome Bachelor ya nursing (ila kwa vyuo vya serikali competition ni kubwa), so kama mfuko uko vizuri aende ata private. Ikishindikana hiyo arudi zake Diploma Akasome Nursing and midwifery.
  6. L

    JamiiForums Tanzania Kwanini wanawake wa kizazi hiki hawataki kuolewa mapema Pindi wanapochumbiwa?

    Wanaharakati wamewajaza fikra ya kwamba, watafute hela kwanza ili wakiingia kwenye ndo waweze kujiamulia mambo. 😎
  7. L

    JamiiForums Tanzania Kozi za Afya zote ziwe na mafunzo ya kijeshi

    Mi nilichomuelewa ni kwamba, Bwashee anataka uhakika wa ajira mara tu baada ya kuhitimu. 😎
  8. L

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Waje watuambie...
  9. L

    JamiiForums Tanzania Nini sababu ya ofisi za umma kuweka kondomu kwenye korido?

    Hii ni hatari, kinacho nishangaza ni kwamba huwa zinaishaga😳 na zinaletwa immediately.
  10. L

    JamiiForums Tanzania Ni biashara gani watu wanaidharau lakini kwa 'ground' ina faida kubwa?

    Wabongo nomaa, ila ni Biashara gani hiyo mkuu?
  11. L

    JamiiForums Tanzania Je, kwa dini ya kiislamu ni ruksa kuvuta sigara?

    Hapana, kwasasbu Asili ya sigara ni kumletea madhara mtumiaji. Na ndio Maana imeandikwa "uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya" ingelikua ya kwamba Kuna kiasi ukivuta haidhuru wangesema.
  12. L

    JamiiForums Tanzania Je, kwa dini ya kiislamu ni ruksa kuvuta sigara?

    Tupe hayo maandiko kwenye Dini ya kiislamu yanayosema ya kwamba sigara ni halali.
Back
Top Bottom