Habari za wakati huu wana jamii forum.
" Bro, naomba kujua kuhusiana na kozi ya Diploma in physiotherapy (mazoezi tiba), kuanzia kwenye chuo kizuri kinachotoa hiyo kozi (kwa vitendo zaidi) , nafasi za intern, uhitaji wake katika jamii na upatikanaji wa ajira (serikalini na private)"
Naomba...
Akasome Bachelor ya nursing (ila kwa vyuo vya serikali competition ni kubwa), so kama mfuko uko vizuri aende ata private. Ikishindikana hiyo arudi zake Diploma Akasome Nursing and midwifery.
Hapana, kwasasbu Asili ya sigara ni kumletea madhara mtumiaji. Na ndio Maana imeandikwa "uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya" ingelikua ya kwamba Kuna kiasi ukivuta haidhuru wangesema.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.