Recent content by Lorenzini

  1. L

    JamiiForums Tanzania Vijana wa Dar wananiita mshua

    Mshua ni mtu fulani ivi mwenye hela, so kaa kwa machale😎 Kuna kitu wamekiona ndani yako, muda sio mrefu wanawez wakakutapeli😂 .
  2. L

    JamiiForums Tanzania Uzi wa vyakula tu

  3. L

    JamiiForums Tanzania Ungepata nafasi ya kurudi chuo ungesoma nini na kwanini? Unawashauri nini vijana wanaoingia chuo mwaka huu?

    Kijana usije ukaenda chuo kusoma kozi iliyopo chini ya department ya natural science. Utakuja kunishukuru baadae😎 .
  4. L

    JamiiForums Tanzania HOJA Tuliovaa Jeans, T-shirt, raba tumezuiwa kufanya usaili katika ajira ya TRC, hii ni sawa?

    Lengo la interview, ni kupunguza watu ili kupata wachache ambao wataweza kupewa kazi husika. Hivyo basi, ni wajibu kwa anaefanyiwa usaili kujiepusha na sababu ndogo ndogo ikiwemo, mavazi, muda wa kufika, kufuata maelekezo. Otherwise usimlaumu mtu, hivi vitu ni known.
  5. L

    JamiiForums Tanzania Fundi akuta dhahabu za Tsh. Bil. 29 na kuwaita polisi. Wewe ungefanya maamuzi gani?

    Mafundi ujenzi wa hapa Bongo tuna cha kujifunza hapa. I can't imagine Kama hizo dhahabu zingeonekana na Mafundi wa kibongo😂😂😂 sijui Saidia fundi angepata kiasi gan😂
  6. L

    JamiiForums Tanzania Ukiwa na Milioni 10 leo, utachagua kufanya nini kati ya shughuli hizi tatu?

    Umeongea kwa hisia sana, ila naunga mkono maoni yako
  7. L

    JamiiForums Tanzania Chupa zilizojaa mkojo zaidi ya 2,000 zakutwa ndani kwa mama ntilie jijini Arusha

    Kama ni Tatizo litakua ni afya ya akili, basi wampeleke sehem husika kwajili ya matibabu. Ila Kama ishu ni ya USHIRIKINA, dah inasikitisha sana. Tupo kwenye giza, hivi kama mganga anaweza kuwapa watu utajiri, si ajipe yeye kwanza na ndugu zake. Utasikia eti ooh mganga hajigangi 🚮
  8. L

    JamiiForums Tanzania Huyo unayemfanyia fitina kazini anategemewa na watu zaidi ya 5 hiyo laana ya ukoo mzima haitokuacha

    Alisikika mmoja akisema "kama hunionei huruma mimi, basi wahurumie wale wanao nitegemea" Yule yule mnaecheka wote anaamua kuvaa miwani ya mbao, kisha ankutendea ubaya. So sad😬
  9. L

    JamiiForums Tanzania Chaguo ni moja tu, uhonge mihela akuone lofa au umnyime pesa akuone mbaya

    Bora lawama kuliko fedheha😎
  10. L

    JamiiForums Tanzania Vijana mkipata nafasi ya kuji attach kwenye royal family, Usirudi nyuma

    "Usifanye maamuzi ukiwa na njaa" Bwashee, Hofu yangu ni kwamba huenda ukaenda kuoa kwenye royal family, halafu end of the day ukageuka kua mtumwa, huna maamuzi, huna final say😎. Kila kitu utakua unasema ngoja nimshrikishe mamtu🙄
  11. L

    JamiiForums Tanzania Kwanini wanawake na waislamu wanakadiriwa kuajiriwa zaidi na Utumishi(PSRS)?

    Hukutakiwa kusema evidence zipo, ulitakiwa uziweke ili tuone.
  12. L

    JamiiForums Tanzania Kwanini wanawake na waislamu wanakadiriwa kuajiriwa zaidi na Utumishi(PSRS)?

    Huu uzi bila uthibitisho ni batili😎
  13. L

    JamiiForums Tanzania SWALI: Kwanini wanawake na waislamu wanakadiriwa kuajiriwa zaidi na Utumishi(PSRS)?

    Kuwa mvumilivu mkuu, kila Kaya itatoa muwakilishi katika ajira za utumishi.
  14. L

    JamiiForums Tanzania Ukosefu wa Kipato chanzo cha Changamoto za Afya ya Akili

    Hili limeeniumiza saaana😎
Back
Top Bottom