Recent content by longola

  1. longola

    Dawa/njia gani inatibu vipele vya ndevu vinavyosababishwa na kunyoa?

    Kingine usipende kushare mashine za kunyolea. Nunua ya kwako. Kuna magonjwa ya ngozi yanakujaga kwa kushare hizi mashine coz huku mitaani hawajui vizuri namna ya kusterilize zile mashine kabla ya kumnyolea mtu mwingine
  2. longola

    Dawa/njia gani inatibu vipele vya ndevu vinavyosababishwa na kunyoa?

    Paka limao siku 7 baada ya kunyoa .. usiku kabla ya kulala paka then unapolala nawa uso wako vizuri utaona vipele vinavyopukutika. Mm kwa sababu ya usomi wangu nilidharau mambo ya limao. Nikanunua mavipodozi ya pesa nyingi na wala hayakunisaidia. Nilipona kwa limao la 200...
  3. longola

    Mfumo wa kukokotoa mahesabu ya duka

    Tumia SMART MAUZO APP ni nzuri sana. Inaonyesha mauzo yako ya siku, faida yako uliyoipata(daily profit) , inaonyesha stock uliyonayo of which ni ngumu mtu kukuibia maana bidhaa zinauzwa kwa system. Ina weka rekodi nzuri sana za biashara. Ila malipo yake ni efu 10 kwa mwwzi kwa standard...
  4. longola

    Msaada: Mke wangu mtarajiwa anawasiliana na ex wake, nifanyeje?

    Mapenzi ni upofu, mapenzi ni kama ulevi wa hisia, mapenzi yanatesa moyo. Mm naelewa hali yako mkuu lakni ww ni mwanaume, fanya maamuzi magumu kwa kutumia AKILI yako usitumie HISIA. Huyo mwanamke ni wazi hayuko committed kua na ww, bado anampenda EX wake, Ww amekufanya daraja la kutuliza maumivu...
  5. longola

    Ipo Engine bora ya Canter 4D 33, 4D 34 au 4D 35?

    Asantee mkuu... 4D 33 inaonekana imekaa vizuri.. hiv ukifunga unaeza miaka mingap kabla ya kuipiga overhaul ??
  6. longola

    Uchambuzi: Maeneo yatakayoiangusha Simba SC kuchukua Kombe la FA, NBCPL na Ngao

    Asante mwanayanga kwa uchambuzi wa timu yetu ya simba[emoji2][emoji2][emoji2] endelea kuishi kwa kukariri
  7. longola

    Ipo Engine bora ya Canter 4D 33, 4D 34 au 4D 35?

    Habarini Wakuu na wajuzi wa mambo, mafundi wazoefu na wamiliki wa malori. Naomba kujua kati ya izo engine za mistubishi canter: 1.4D 33 2.4D 34 3.4D 35 Ipi ni bora kwa canter mayai ton 3.5 interms of cost of maintenance, service, running cost, fuel consumption, optimal performance, power...
  8. longola

    Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

    Mkuu hawa watu ni trusted. Huku bei rahisi nataka niagize mzigo wa kuuza mtaani
  9. longola

    Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

    Naona pale wanalist maashiping agent ambao siwajui.. kuna namna ya kuwaweka unaowataka?
  10. longola

    Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

    Habari wakuu. Naomba muongozo wa kununua vitu Alibaba. Pia kingine kinanichanganya ni pale shipping inakua very expensive compared na bei ya bidhaa, pia hapo naomba msaada wa kupata cheaper shipping agent.
  11. longola

    Tabia Zinazomfanya Mwanamke Awe Na Hisia Nawe Zaidi, Akupende Na Mdumu

    Cha msiingi pesa wachana na io magazeti[emoji2][emoji2]
  12. longola

    Kujenga nyumba na kununua magari ni sababu mojawapo ya Umasikini

    Mada ngumu sana hii coz ugumu wake una aspect mbili ambazo ukizingatia zote ni muhimu sana kwa maisha ya mwanadamu. 1. Economically ●Economically tunasema nyumba na gari ni liabilty ( kwamba ni vitu ambavyo sio vizalisha pesa bali vitumia pesa) unless upangishe ikupe pesa au iwe gari ya...
  13. longola

    Naomba ushauri wa biashara ya kuingiza 50,000 kwa siku

    Kama huwezi msaidia mtu kimawazo ni bora ukae kimya kuliko kumshauri mtu vitu haramu kwa Mungu hata kwa serikali yalenyewe.. Soma comment pita kushoto..
Back
Top Bottom