Kingine usipende kushare mashine za kunyolea. Nunua ya kwako. Kuna magonjwa ya ngozi yanakujaga kwa kushare hizi mashine coz huku mitaani hawajui vizuri namna ya kusterilize zile mashine kabla ya kumnyolea mtu mwingine
Paka limao siku 7 baada ya kunyoa .. usiku kabla ya kulala paka then unapolala nawa uso wako vizuri utaona vipele vinavyopukutika. Mm kwa sababu ya usomi wangu nilidharau mambo ya limao. Nikanunua mavipodozi ya pesa nyingi na wala hayakunisaidia. Nilipona kwa limao la 200...
Tumia SMART MAUZO APP ni nzuri sana. Inaonyesha mauzo yako ya siku, faida yako uliyoipata(daily profit) , inaonyesha stock uliyonayo of which ni ngumu mtu kukuibia maana bidhaa zinauzwa kwa system. Ina weka rekodi nzuri sana za biashara.
Ila malipo yake ni efu 10 kwa mwwzi kwa standard...
Mapenzi ni upofu, mapenzi ni kama ulevi wa hisia, mapenzi yanatesa moyo. Mm naelewa hali yako mkuu lakni ww ni mwanaume, fanya maamuzi magumu kwa kutumia AKILI yako usitumie HISIA.
Huyo mwanamke ni wazi hayuko committed kua na ww, bado anampenda EX wake, Ww amekufanya daraja la kutuliza maumivu...
Habarini Wakuu na wajuzi wa mambo, mafundi wazoefu na wamiliki wa malori. Naomba kujua kati ya izo engine za mistubishi canter:
1.4D 33
2.4D 34
3.4D 35
Ipi ni bora kwa canter mayai ton 3.5 interms of cost of maintenance, service, running cost, fuel consumption, optimal performance, power...
Habari wakuu.
Naomba muongozo wa kununua vitu Alibaba. Pia kingine kinanichanganya ni pale shipping inakua very expensive compared na bei ya bidhaa, pia hapo naomba msaada wa kupata cheaper shipping agent.
Mada ngumu sana hii coz ugumu wake una aspect mbili ambazo ukizingatia zote ni muhimu sana kwa maisha ya mwanadamu.
1. Economically
●Economically tunasema nyumba na gari ni liabilty ( kwamba ni vitu ambavyo sio vizalisha pesa bali vitumia pesa) unless upangishe ikupe pesa au iwe gari ya...
Kama huwezi msaidia mtu kimawazo ni bora ukae kimya kuliko kumshauri mtu vitu haramu kwa Mungu hata kwa serikali yalenyewe.. Soma comment pita kushoto..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.