Acheni makasiriio tafuteni Hela kutwa kudiscuss maisha ya watu ukute hapo ulipo hata bando la kuingua jf umekopa songesha wanaume wa bongo mna shida sana mbona wazungu hawana mambo hayo ndio maan wanaendelea mfano mzuri raisi wa ufaransa mbona ameoa kibibi kabisa hata mwanae wa kambo ni mkubwa...
Kwenye akili zao wanawaza kukamuliwa tuu c unajua tena show za mla ganja full vibe.
Wanapataga akili za maisha wakifa kwenye 30+ hapo ndio utakuta Ana watoto wawili halafu matunzo hamna ndio mwendo wa kwenda kanisani kutafuta mme.
Maamuzi ndio maana halisi ya maisha, jinsi utakavyoamua ndio jinsi utakavyoishi. Be yourself bro! No one else will struggle for you do whatever makes you happy and be different.[emoji817][emoji123]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.