Recent content by Lonelyness

  1. L

    Kwa wanaume tu: Anaomba ushauri

    Too childish ivi mapenzi gani yakukufanya usikumbuke umuhimu wa kazi yako? Mwambie asubiri atakapofukuzwa kazi na kukimbiwa na mpenzi atuletee mrejesho
  2. L

    Mume wangu hanitoshelezi, kimwili na kimahitaji

    Mpendwa ndoa zinatafutwa kwaudi na uvumba we unachezea? Kaa na mmeo chini mwambie awajibike kuhudumia familia alaf huyo aliekuridhisha kitandani jua nae ana matatizi yake usijeruka majivu ukaangukia motoni
  3. L

    Msaada: Hospitali yenye daktari wa wanawake mkoa Kilimanjaro, Moshi

    upendo dispensary nakilimanjaro hosp kwa maro
  4. L

    Ishu ya mwanamke kukupa begi lake umbebee

    mbona nikawaida sana, mi nikitoka na my hubby anakawaida yakunibebea pochi wala hana tatizo, sema huyo dada hana adabu unampaje mtu pochi akubebee wakat c bf, wala hubby wake? hajitambui anakurupuka
  5. L

    Nina tatizo la swinging mood

    Nimechekaje!! Nisamehe Bure
  6. L

    Hii kwangu ni ndoa ya mwaka

    muh, siyawez mwenzenu, nikijua tu mume kachepuka na fulani, nahisi roho inachomoka, presha inashuka leo mkemwenza!!
  7. L

    Mke wangu ni mama wa kambo, anampenda mtoto wake kuliko wangu aliemkuta

    dah, nampongeza mama huyo kwaupendo wakweli kwa mtoto, niwachache sana tulioumbiwa moyo huo, mpende, mheshimu, nae mungu atazidi kuibariki nyumba yenu daima
  8. L

    Tujadili unga wa lishe wa watoto haijalishi umri

    muh, mi nachanganya mahindi, mchele, soya, karanga au ufuta, ngano, ulezi, uwele, namtama, japo ukiwa unaanza kwa 6months husiweke mtama, ulezi, wala mawele, weka mahindi, mchele, ngano, na ufuta, wakati wakupika naongeza na maziwa na sukari
  9. L

    Ndugu wa mume wangu wakija nyumbani wanachukua kila kilicho mbele yao

    pm me dada nikusaidie ukitaka, nilipitia hayo b4 sijajitambua, ila leo
  10. L

    Niwapatanishe vipi wanandoa walioachana miaka mitatu iliyopita?

    unaweza kuongea nammoja mmoja kuhusu uamuzi wake upoje iwapo mwenzake atataka warudiane, ukishasikia wazo lakila mmoja, unatafuta namna yakuwakutanisha ila hakikisha uwe umeshawaweka sawa, kama wanapendana hakuna kitakachoshindikana,naamini mungu wetu nimwema atakupa ujasiri nanjia...
  11. L

    Mpenzi wangu anasema hawezi kuolewa bila harusi

    sherehe muhimu kaka, yanini kuingia ndani kimya kama mwizi wakati nindoa halali? ebu mpe heshima mamawanao, mrs, mahabuba, mbona harusi hata ya milioni inawezekana, mnaandaa ndugu wapande zote mbili, na staffmates wenu basi mle, mfurahi kwa milioni tu, c lazima mamilioni bwana mpe heshima mwenzio
  12. L

    Niisaidie familia hii au niwambie nadaiwa deni?

    ukisema alikuwa anakudai wanaweza hisi u miongoni mwa walopanga njama zakumuua jamaa, muhimu somesha wanae wapate kujitegemea uachane nao ukiwa umeshawainua kimaisha, wazazi unaweza wafungulia kimradi kidogo kiwasaidie wainuke kiuchumi, nae mungu wetu atakubariki
  13. L

    Kuna haja yoyote ya mwanamke kujenga kwao?

    mwanamke kujenga home muhimu kabisa, usitegemee et mumeo ndo akakujengee kwenu utaaibika milele, hata hivyo sikuhizi me na ke wote wanawaza maendeleo, 2me nilijenga kwangu kwanza na mr. tupate angalau pakuficha mbavu, sasa ndo naendelea kwawazazi,
  14. L

    Mtoto wa mama wa kambo ananitega

    Kaka Usjaribu Kamwe Kumfunua Mdogo Wako, Tafuta Sku Mwite Utoke Nae Kakae Nae Open Place, Kisha Mkanye Tabia Yakujilengesha Nakujitongozesha Kwawanaume, Namwambie Kama Ukijagundua Anaendelea Utaitisha Kikao Chawazazi Kumsema, Kumbuka Wewe Nikakake Milele, Nasku Wazazi Wenu Wametoweka Duniani...
Back
Top Bottom