Mle TIGO
Ndugu zangu wanajamiiF,
Nina mpenzi wangu yapata mwaka sasa, lakini cha kushangaza anasema hawezi kuolewa bila harusi na mimi sipo tayari kufunga harusi, na anasema anaomba Mungu apate bwana atakaye muoa kwa harusi.
Naombeni ushauri wenu
Ivi ni kukwepa majukumu ni nini aswa? Mbona wanaume hampendi harusi? Ivi hela yenu mnayowachangia wenzenu haiwaumi? Shame on you men
kipi hujakielewa sasa? Na wewe kwa n i ni hutaki kufunga naye ndoa? Unamwoa kama mchepuko si kumdhalilisha huko? Kwa nini unakwepa kuweka mkataba kamili hadharani?
Bila shaka yuko juu sana kimaadili na ni mwadilifu na mkweli kuliko wewe na hivyo you are not for her. Tafuta mbabaishaji mwenzako.
tendo kutokea mara moja siyo kigezo cha sherehe. pia, kwani bila harusi ndoa inakuwa siyo halali?Huyo Dada yuko sahihi kabisa mfanye sherehe kabisa tendo hilo hutokeaa mara moja maishani. Sasa kwanini muishi bila kuhalalisha ndoa
tendo kutokea mara moja siyo kigezo cha sherehe. pia, kwani bila harusi ndoa inakuwa siyo halali?
Ndugu zangu wanajamiiF,
Nina mpenzi wangu yapata mwaka sasa, lakini cha kushangaza anasema hawezi kuolewa bila harusi na mimi sipo tayari kufunga harusi, na anasema anaomba Mungu apate bwana atakaye muoa kwa harusi.
Naombeni ushauri wenu