Ishu ya mwanamke kukupa begi lake umbebee

Ishu ya mwanamke kukupa begi lake umbebee

Itakuwa anakuona unafaa kuwa kuli au mchukuzi wa magunia. Anashindwa kukwambia ukweli.
 
Ebo alipoenda chooni wewe ulisimamaaa au ?? Wewe bwana why hukumfata hukohuko chooni ?/ Stuka mnama :bathbaby:
 
Sasa kuna shida gani kumsaidia mwanamke kamzigo kepesi kama hako?
 
Kuna siku nilikuwa maeneo ya posta na demu angu akaniambia nimbebe nikampiga mgongoni hadi nilipo kuwa nimepaki gari sema alikuwa ni kidogo flani siyo kizito watu kibao full kupiga macho
 
Ukiwa mtoto unakumbana na matatizo.
Ukikua unakutana na changamoto.

Pole na matatizo.
 
mbona nikawaida sana, mi nikitoka na my hubby anakawaida yakunibebea pochi wala hana tatizo, sema huyo dada hana adabu unampaje mtu pochi akubebee wakat c bf, wala hubby wake? hajitambui anakurupuka
 
Jifunze kutongoza bila kuwagandaganda na kuwafuatafuata
kuwa short and clear....

kuwafuatafuata huku hauko clear unataka nini mwisho ndo hivyo tu unabebeshwa tu mabegi..


Kumbe tupo wengi wenye hii style ya kutongoza?
 
kausha tuu usiangalie wengine we jua tu ulimsaidia kubeba ts over..usicomplicate sana...
 
Wengi wana bebesha mizigo wajinga wajinga....bwana wake hawez mbebesha mizigo
 
Mwanaume kubeba pochi la demu wake kawaida sana! Unakuta ME mwingine anakuomba kabisa akubebee pochi lako...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom