Hamna kitu hapo, Iran hawezi lipiza kisasi haraka haraka hivi.
Na itakapofika wakati wa Iran kulipiza kisasa hawezi yeye kama yeye kulipiza direct badala yake atavitumia vile vikosi vya kigaidi anavyovidhamini kuihujumu America
Kwasasaivi Iran yupo kwenye temper ya ajabu na hawezi Fanya...
Mwenye kufahamu,
kwanini Pakistan akumbani na vizingiti vya kumiliki nyuklia ???
Tukiangalia Kwa Jirani Yake Iran au Korea ya kaskasini ni tofauti kidogo,
Mwenye kujua anijuze jaman wakuu!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo lipo kwenye ushawishi ndani ya mashariki ya kati, Nani atakubali ushawishi wa mwenzake ushamiri katika himaya Yake au Kwa wafuasi wake!!
Je saud Arabia atakubali ushia upenyezwe kwenye himaya zake au Iran atakubali usuni ushamiri katika himaya na ngome zake nje na ndani ya Iran??
Hapo...
Umeniwahi Mkuu, hata na Mimi nilitaka kumjibu hivi hivi.
Kipindi hicho ni maarufu sana kwenye jamii za kimasai na wameru na pengine Kwa wachagga japo sina uhakika.
Kwa kimasai kipindi hicho kinajulikana Kwa jina la *Emutai* kipindi hiko robo tatu ya wamasai pamoja na mifugo yao ilikufu, kuna...
Tafiti zaidi zinaitajika, Pili kuna umuhimu wa kuiweka historia ya nchi yetu pamoja na dunia katika usawa.
Itasaidia kuweka wazi mambo ya kihistoria, na ili kufanikisha hili hatuna budi kukwepa urangi(race), udini na upendeleo wowote ule wenye kutaka kupotosha hali halisi iliyokuwapo kipindi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.