Majina ya maeneo na maana zake

Majina ya maeneo na maana zake

Lukuledi huko Ntwara aka mtwara kama sikosei ni Look ladies mzungu alikuwa akiwachungulia wadada wakibongo wakienda chota maji mtoni huku matiti yao yako wazi enzi hizoo za ukoloni. Kwa hiyo wazungu wakawa wanaitana hey Sam! Look ladies basi ikawa Lukuledi. Newala ni new well kisima kipya.
Chuchu SAA sita
 
ila zenji ndio inaongoza kwa majina ya ajabu!!!!kuna sehemu inaitwa MWEMBE BASHA???!!!!
 
Nairobi - (kimasai) "Engare Nairobi" = "maji ya baridi",

Eldoret - (kimasai) "eldore" = "mawe ya mtoni";

Uasin Gishu - (kimasai) "Illwuasin-kishu" = "Boma za kimasai zenye ngombe wenye rangi(doti) tofauti tofauti"

Nakuru - (kimasai) "Nakurro"= "eneo lenye upepo, vumbi pamoja na vidudu(larva or maggots)vidogo vidogo ambavyo baadae huishia kuwa na mabawa ya kapaa"

Mt Kenya - (kimasai) "Oldonyo le-rukenya au Oldonyo ker(stripped mountain)" = "mlima wenye kilele cha ukungu au theluji kadhalika na kuzingirwa na mawingu Mara Kwa Mara"


Mara - (kimasai ) "Engare-Mara" = "maji ya mto yanayoneemesha wanyama na mimea na unapatikana kila sehemu ya eneo lote husika"

Oldonyo Sabuk - (kimasai) "Ol-donyo Sapuk" = "Mlima mkubwa"


Kajiado - (kimasai) "Ol-kejuado" = "tambarare yenye eneo refu sana"

Serengeti - (kimasai) "e-serenket au siringet" = "tambarare iliyo flati yenye kujawa na majani"

Amboseli - (kimasai) "Empusel" = "tambarare iliyo na uwazi"

Nyahururu - ( kimasai) "e-naiwurruwurr" = "waterfall(maporomoko ya maji)"

Naivasha - (kimasai) "e-naiposha" = " Ziwa(lake)"


Embakasi - (kimasai) "Em-pakasi" = "vimiti vilivyojiipanga kuelekea uelekeo wa mto"

Loliondo -(kimasai) "O-loliontoi" = "miti jamii ya loliondo"
Manyara - (kimasai) "emanyara" = "Palipo zungukwa vema kama Boma"

Mt Longonot - (kimasai) "Oloonong'ot" = "vimilima vya vikunjo kunjo".

Arusha - (kimasai) "larusa" = ...

Baadae ntaendelea Mda haunitoshi;




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom