Recent content by Lole le grand

  1. L

    Tanzia: Zakaria Ndemfoo wa Machame Kisiki

    Ktk salam tulikuwa tunamsikia akituma salam kwa mkewe Ester Mashoo kama nina kumbuka vizuri. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. L

    Naomba kufahamishwa wasifu wa Sipora Liana ambaye ni Mkurugenzi wa jiji la Dar es Salaam

    Anatoka Lambo, Tarafa ya Ugweno, wilaya ya Mwanga, Mkoa wa Kilimanjaro. Baba yake aliwahi kuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya mwanga. Ni msomi. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. L

    Kilimanjaro yaendelea kuwa kinara wa elimu

    Hata shule za Kiislamu Kilimanjaro zinafanya vizuri, Vuchama Islamic ni ya kwanza kimkoa ktk kundi lake. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. L

    Wanachokifanya Azam Tv kwa kweli sio busara

    Ni kweli kabisa. Bora ungojee kiishe kuliko kulipa kabla. Kupiga namba zao ni kazi. Hakikisha una salio kubwa ktk simu kabla ya kuwapigia. Mwanzoni walikuwa wazuri. Sasa hivi ni ubabaishaji. Ukilipia kifurushi kwa ajent hatoi risiti. Hata ukikwama huna pakulalamikia. Yamenikuta hapa Tanga. Sent...
  5. L

    Aliyepanda treni ya Dar - Moshi aje atupe mawili matatu

    Linadimama ktk pori gani watu 500 wachimbe dawa? Sent using Jamii Forums mobile app
  6. L

    Lissu kuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA

    Mwambe aliingia CHADEMA mwaka gani? Asije kurubuniwa na CCM. Watu wa Kusini siwaamini. Hawana msimamo thabit. Tumeona mwaka jana ktk korosho.
  7. L

    Mahakama imeamua huyu mwanamke kuwa ni mwanaume

    Katerero ni makao makuu ya Wilaya.
  8. L

    Viwanda 4,000 anavyovisema Rais Magufuli Vimejengwa Wapi?

    Inawezekana msisahau kuwa kwa nchi hii Leo, hata mashine za kusaga na kukoboa ni viwanda.
  9. L

    Siku Rais Magufuli akipokea Nobel Price!

    Kama ni Nobel Price mpeni tu, lakini so Nobel Prize.
  10. L

    MWANGA: Wilaya ya kishamba zaidi katika mkoa wa Kilimanjaro

    Nimeshuhudia jengo la ghorofa 6 kijijini. Ugweno.
  11. L

    Sheria mpya: Ukinunua mkaa dai risiti vinginevyo utatozwa faini ya Tsh 500,000 kwa kumiliki rasilimali isivyo halali

    Kuna siku watawaingilia waganga wa asili na mizizi yao. Ni maliasili.
  12. L

    Ulishawahi kuugua tumbo ukiwa safarini?

    Omba Mungu isikutokee ukiwa ndani ya hivi videge vidogo visivyo na choo.
  13. L

    Moshi: Mjane mwenye watoto wanne atupwa jela maisha kwa kosa la kusafirisha mirungi

    Waislamu ndio watumiaji wakubwa wa mirungi . Mirungi ni haramu au halali ktk Uislamu? Mwenye kujua anielimishe.
  14. L

    CAG anatakiwa kutangaza kuachia ngazi mapema

    Hili Bunge la Ndugai ni dhaifu kwa vitu vingi. Ni aibu nchi kuwa na Bunge la aina hii. Bora livujwe. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom