Andre-Pierre
JF-Expert Member
- Nov 4, 2019
- 324
- 1,188
Salama wakuu,
Kama mjuavyo JF ni uwanja mpana sana kwa kuwa unahusisha watu wengi wa kila aina.
Wiki iliyopita treni ya Dar - Moshi ilianza kazi mara baada ya kutofanya kazi kwa miaka takribani 25. Ukipita mitandaoni utaona jinsi inavyosifiwa.
Kuna mwana JF yoyote ambaye amewahi kupanda treni hiyo? Kama yupo basi asisite kupita hapa na kutupa mawili matatu yanayopatikana katika treni hiyo. Nina mpango wa kwenda kula X-mas kwa mshikaji wangu Moshi, so ningependa kuipanda treni hiyo lakini mpaka nipate mawili matatu hapa.
Karibuni wakuu
Kama mjuavyo JF ni uwanja mpana sana kwa kuwa unahusisha watu wengi wa kila aina.
Wiki iliyopita treni ya Dar - Moshi ilianza kazi mara baada ya kutofanya kazi kwa miaka takribani 25. Ukipita mitandaoni utaona jinsi inavyosifiwa.
Kuna mwana JF yoyote ambaye amewahi kupanda treni hiyo? Kama yupo basi asisite kupita hapa na kutupa mawili matatu yanayopatikana katika treni hiyo. Nina mpango wa kwenda kula X-mas kwa mshikaji wangu Moshi, so ningependa kuipanda treni hiyo lakini mpaka nipate mawili matatu hapa.
Karibuni wakuu