Ukweli lazima uwekwe wazi jamani, ukimwi tanzania ni mwingi, kila siku vijana wadogo wanakufa, sababu ya mambo kama hayo na huko Uganda napo hivyo hivyo, huo muda wa kupima afya zao wanao maana kila siku mara anatoka na wema, mara penny na sasa zari, umalaya mwingi ingawa hatupangii mtu jinsi...