Unajua mtu anae juwa hana maneno mengi ila asiye jua anamaneno sio mchezo ndio maana wahenga wanasema debe tupu haliishi kelele ila lenye kitu limetulia tuli
Lowassa ndio mgombea pekee anaeweza kumkemea mtu na akaskia maana hana njaa useme atapelekeshwa na wenye ela kiukweli lowassa anauwezo wakumwajibisha yeyote alie mbele yake kama kweli unafwatilia siasa lowassa alijiuzulu kutokana na position alio kuwa nayo so huwezi mpeka hovyo kama unavyo dhani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.