haa mym
JF-Expert Member
- Jul 7, 2014
- 4,857
- 4,656
Kamanda hauwezi kuchangia bila kutukana.
Mkuu ujui km ni vibaka hao
Kamanda hauwezi kuchangia bila kutukana.
ukishatulia uandike tena ulichokiona ili uelewe.
wabunge wa wawili wa chadema moshi vijijni?
mara redbrigade wa Antony Komu? hueleweki kwa kifupi.
sijaelewa ulichoandika mkuu
Halafu eti wewe ray jay ni kati ya vijana mnaoaminika CCM. Yaani hadi huruma. Sasa hapa umeandika nini? CHADEMA wana Mbunge au Wabunge Moshi Vijijini? Vijana kama nyinyi mnaondoa heshima ya vijana wote hata tusiokuwa wanasiasa.
Bure kabisa
Ha ha Stroke kumbuka Igunga na Rage...mbona tuliwapa nchi? Nakumbushia tu kuweka historia sawa sawa! Tena yeye haukuwa mkutano wa ndani ulikuwa wa hadhara na akapanda jukwaani kuhutubia ni kile kijamaa kwenye mifuko yake ya surualiHizi ni habari muhimu sana zinaonyesha Chadema ni watu wa namna gani, hawa watu bure sana, hawafai kabisa tuwape majukumu mazito ya kuongoza taifa hili, jambo kidogo tu, bastola..
Hizi ni habari muhimu sana zinaonyesha Chadema ni watu wa namna gani, hawa watu bure sana, hawafai kabisa tuwape majukumu mazito ya kuongoza taifa hili, jambo kidogo tu, bastola..
Hali ni tete, wabunge wawili wa Moshi vijijini wanatunishiana misuli, wa CHADEMA na Katibu wa CHADEMA mkoa amekula kichapo mbaya na redbrigade walioletwa na Komu ametoa pistol akitishia wagombea huko Kibosho baada ya polisi kuingilia kati.
Sorry picha za pistol sina, maana nilikua mkutano wa mgombea wa upande mwingine nilivyokua naenda huko watu wakawa wamesambaratika wanarudi kwa mgombea wa pili yaani kama maigizo vile.
Hali ni tete, wabunge wawili wa Moshi vijijini wanatunishiana misuli, wa CHADEMA na Katibu wa CHADEMA mkoa amekula kichapo mbaya na redbrigade walioletwa na Komu ametoa pistol akitishia wagombea huko Kibosho baada ya polisi kuingilia kati.
Sorry picha za pistol sina, maana nilikuwa mkutano wa mgombea wa upande mwingine nilivyokuwa naenda huko watu wakawa wamesambaratika wanarudi kwa mgombea wa pili yaani kama maigizo vile.
Hali ni tete, wabunge wawili wa Moshi vijijini wanatunishiana misuli, wa CHADEMA na Katibu wa CHADEMA mkoa amekula kichapo mbaya na redbrigade walioletwa na Komu ametoa pistol akitishia wagombea huko Kibosho baada ya polisi kuingilia kati.
Sorry picha za pistol sina, maana nilikuwa mkutano wa mgombea wa upande mwingine nilivyokuwa naenda huko watu wakawa wamesambaratika wanarudi kwa mgombea wa pili yaani kama maigizo vile.
Sidhani kama ITV wataitangaza hii habari.