Kimsingi suala la kumwajibisha mubunge lipo mikononi mwa wananchi wananchi tunayo dhamana ya kumkataa mubunge wakati wa uchanguzi.Hivyo tusidaganyika kwa vijicent
Gonja tusibiri mambo yanavyoenda maana Afrika kila chama kinaufadhili toka nje.Maana hata huko kenya wapinzani kesho wanamkutano hii ni dalili tosha kabisa kwamba baadhi ya mataifa yana husada na Afrika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.