Recent content by Logic Man

  1. L

    Leo Ijumaa, Agosti 7 nitazungumzia siasa zinazoendelea nchini channel 10 saa 4 usiku, karibuni

    Hamna chama kilicho andikwa ukawa kama unambisha kaulize NEC
  2. L

    Yaliyojiri Agosti 4/2015 katika Mkutano Mkuu wa CHADEMA Ukumbi wa Mlimani City, DSM

    Swali mbona kila anaogea CDMA tu wakati kuna nyama vingi hivyo ni vyama vivuli?
  3. L

    Dr. Slaa na Prof. Baregu kwenda ACT-Wazalendo?

    Nimesickia kupitia uhuru FM kwamba slaa kasusia kwamba yeye anaamiani kuwa lowassa ni fisadi no 1
  4. L

    Rais UDOM (CoEd) apinduliwa

    Ni kweli pesa ya umma cku zote inarudi kuwa majuto
  5. L

    Majina HESLB yaongezwa

    S.3634.0043.2010 PAUL MARY E nichekishie
  6. L

    Kama dunia inazunguka, kwanini miamba na milima haiporomoki? Na kwa nini bahari isimwage maji yake?

    Asante sana wakuu jamii forum ni chimbo la maarifa na ujuzi
  7. L

    Waliopata mikopo HESLB 2014/15

    S.3634.0043.2010.PAUL MARY E msaada mkuu
  8. L

    Kituo cha polisi Geita chavamiwa, Askari wauawa!

    Asante mkuu kwa updates zako
  9. L

    Bunge la Katiba lakataa Elimu ya Kidato cha nne kwa Wabunge

    Kimsingi suala la kumwajibisha mubunge lipo mikononi mwa wananchi wananchi tunayo dhamana ya kumkataa mubunge wakati wa uchanguzi.Hivyo tusidaganyika kwa vijicent
  10. L

    Rais Mugabe aeleza kuhusu ubaguzi wa rangi

    Of course very impressive speech
  11. L

    Mvutano baina ya sisiemu wenyewe, wizara ya nishati na madini

    Gonja tusibiri mambo yanavyoenda maana Afrika kila chama kinaufadhili toka nje.Maana hata huko kenya wapinzani kesho wanamkutano hii ni dalili tosha kabisa kwamba baadhi ya mataifa yana husada na Afrika
  12. L

    Sakata la Kashfa ya Richmond: The Facts

    Kwakweli ni kashfa
Back
Top Bottom