Hao walioleta haki za binadamu huku Afrika unadhani wao wanazitekeleza 100%?
Hayo mambo mawili juu yanaifanya nchi isonge mbele kwa maendeleo / yanarudisha nyuma maendeleo ya mwananchi?
Nuru huambatana na matendo mema ya utukufu kwa Mungu na wanadamu, Giza huambatana na shetani ibilisi mkuu wa huu ulimwengu....sidhani kama mkeo anaweza kupenda kufanya gizani tu wakati jamii inatambua mmeoana....Siyo sifa kutafuna haramu gizani halafu unajinadi kwa keyboard
Mnaomtetea Mwaka wakati hamjui ethics za hiyo kazi nawaita ni "wapuuzi kabisa"
Msichukulie swala la afya ya binadam kama ya "nyumbu".... Punguzeni political emotions
Ndo maneno yenu hayo? Kujifanya kuwa mna perfect mind kukosoa kila kitu na majungu tu?
One of the effect of drug abuse in your brain is loss of memory and mental capability, psych disorders ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.