D-Wamisako_
Member
- Oct 27, 2015
- 55
- 7
Unaonekana Tu! Hata Kuoga Ni Mpaka Ukamatwe, Pia Kama Uli Lelewa Na Kukulia Katka Mazingira Machafu Ni Ngumu Kuwa Msafi, Mi Ntakuwepo Vitunguu Usafi Kama Kawa
we kazi yako ya uzota hiyo unalipwa.. na wengi wanaoenda kufanya usafi ni wale choka mbaya katafuteni sifa huko eti kwenda kufanya kwendraaaaa