Mambo ya kishetani hufanyika gizani ili yasijulikane na watu. Wote wafanyao mambo hayo ni machukizo kwa MUNGU; tubuni na kuacha uovu wenu mkarejee kwa MUNGU aliyewaumba.
Nuru huambatana na matendo mema ya utukufu kwa Mungu na wanadamu, Giza huambatana na shetani ibilisi mkuu wa huu ulimwengu....sidhani kama mkeo anaweza kupenda kufanya gizani tu wakati jamii inatambua mmeoana....Siyo sifa kutafuna haramu gizani halafu unajinadi kwa keyboard
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.